Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,644
Asalaam Aleykum(Amani iwe nanyi) Tanzania na Dunia kwa ujumla.
Leo naomba niwazungumzie wananchi, Dar Young Africans Wana jangwani
Nipende ku'declare interest' kwa mambo yafuatayo.
🙌 Mimi n mshabiki na mpenzi wa soka wa muda mrefu na siko mbali na maswala ya ukufunzi wa mpira wa mguu
🙌Yanga kwa sasa ndio timu Bora hapa Tanzania
a)Umoja - viungozi na mashabiki
b)Uongozi Bora, Eng. Hersi
c)Uwazi
d) Mafanikio nk
NINI HASA KINAWAKWAMISHA YANGA KUFANYA VIZURI CAFCL?
1. Kocha si Bora katika mbinu.
Mechi kama ya Leo dhidi ya Medeama FC angelikuwa Prof. Nabi angechukua point 3
2. Mashabiki wa timu ya Yanga SC, wamejitoa katika jukumu la kuikosoa timu, hasa katika Michuano ya CafCl, labda kwa sababu wameshafikia malengo.
3. Ukosefu wa baadhi ya wachezaji katika maeneo muhimu ya uwanja Kiungo(box2box), 9, Winger.
4. OverConfidence Kuanzia kwa bench la ufundi mpaka wachezaji, hivo inasababisha kukosekana kwa utulivu
USHAURI WANGU( Nanyi pia mtaongezea)
1. Kocha aboreshe mbinu, High pressing n nzuri lakini iwe yenye mipango.
2. Mashabiki wawe realistic, watimize wajibu wao wa kukosoa
3. Uongozi ufanye usajili wa Middle(Holding/Box2box), Winger, 9, 3
4. Wafanye marekebisho ya mikataba hasa wachezaji wa ndani, ili timu iendelee kuwa imara yapasa iwatunze wachezaji Bora ilio nao kama Diara, Aucho, Pacome nk
Yote kwa yote, asanteni kwa kushiriki, chukue point 3 kwa Medeama, point 1 kwa CR Beluzdad ili angalau mfikishe point Point 6.
Bilashaka itakuwa historia katika timu ya Yanga,
Karibuni kwa hoja, wadau
Leo naomba niwazungumzie wananchi, Dar Young Africans Wana jangwani
Nipende ku'declare interest' kwa mambo yafuatayo.
🙌 Mimi n mshabiki na mpenzi wa soka wa muda mrefu na siko mbali na maswala ya ukufunzi wa mpira wa mguu
🙌Yanga kwa sasa ndio timu Bora hapa Tanzania
a)Umoja - viungozi na mashabiki
b)Uongozi Bora, Eng. Hersi
c)Uwazi
d) Mafanikio nk
NINI HASA KINAWAKWAMISHA YANGA KUFANYA VIZURI CAFCL?
1. Kocha si Bora katika mbinu.
Mechi kama ya Leo dhidi ya Medeama FC angelikuwa Prof. Nabi angechukua point 3
2. Mashabiki wa timu ya Yanga SC, wamejitoa katika jukumu la kuikosoa timu, hasa katika Michuano ya CafCl, labda kwa sababu wameshafikia malengo.
3. Ukosefu wa baadhi ya wachezaji katika maeneo muhimu ya uwanja Kiungo(box2box), 9, Winger.
4. OverConfidence Kuanzia kwa bench la ufundi mpaka wachezaji, hivo inasababisha kukosekana kwa utulivu
USHAURI WANGU( Nanyi pia mtaongezea)
1. Kocha aboreshe mbinu, High pressing n nzuri lakini iwe yenye mipango.
2. Mashabiki wawe realistic, watimize wajibu wao wa kukosoa
3. Uongozi ufanye usajili wa Middle(Holding/Box2box), Winger, 9, 3
4. Wafanye marekebisho ya mikataba hasa wachezaji wa ndani, ili timu iendelee kuwa imara yapasa iwatunze wachezaji Bora ilio nao kama Diara, Aucho, Pacome nk
Yote kwa yote, asanteni kwa kushiriki, chukue point 3 kwa Medeama, point 1 kwa CR Beluzdad ili angalau mfikishe point Point 6.
Bilashaka itakuwa historia katika timu ya Yanga,
Karibuni kwa hoja, wadau