Yanga ndio wanawafanyia umafia Simba, Jwaneng wapo Avic Town

Lakini Simba si iliipiga TRA bao 6 - 0? Uoga unatoka wapi kwa timu inayotoa kichapo kama Simba? Mimi sio mwanaYANGA ila huwa nafurahi sana nikiona SIMBA inanyanyasika.
 

Attachments

  • 20240301_105740.jpg
    20240301_105740.jpg
    61.5 KB · Views: 2
Haya naajabu mengine yaani timu imecheza michezo saba ya Kimataifa na imeshinda mchezo mmoja tu ila ajabu Yanga analaumiwa. Hivi ni kweli kwenye michezo yote sita Yanga alikuwa anawahujumu. Nyie endeleeni tu kuilaumu Yanga badala kuimarisha kikosi chenu.
Mbumbumbu unafikiri wanalijua hili, wao ni midomo tu ndio wanaweza.
 
Mbumbumbu Fc acheni propaganda za kipuuzi, mnajitisha wenyewe.
Kama ao Galaxy mnawaogopa basi subirini Leo tumalize mechi tunarudi na kesho tutawasaidia kucheza sisi mmpate ushindi na soka mardadii.
Wale TRA mmecheza nao Chamazi ikija ligi mnakimbia jiji yaani mpo full mchecheto.
Chukua ziro lako huko Misri..
 
Nashangaa kwanini Yanga inataka kuwakomoa Simba, wao wameshavuka na wapo Misri lakini malazi ya Jwaneng Galaxy yapo Kigamboni.

Ila tutaingia tu robo fainali.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani Avici n kwa Yanga au unajizima data?
wao wenyewe Yanga wapo wapo tu pale kwa huruma ya wenye mali...
 
Kama unamuona mtoa mada ni muongo kumbuka haya matukio (1) mashabiki wa uto kuwapokea airport wapinzani wa simba (2) Uto kuwaambia wapinzani wa simba kuwa simba inapuliza sumu kwenye vyumba

Uto wanaweza kweli kuwasaidia wapinzani maana yana roho mbaya ya kiukweli kweli.
 
Kama unamuona mtoa mada ni muongo kumbuka haya matukio (1) mashabiki wa uto kuwapokea airport wapinzani wa simba (2) Uto kuwaambia wapinzani wa simba kuwa simba inapuliza sumu kwenye vyumba

Uto wanaweza kweli kuwasaidia wapinzani maana yana roho mbaya ya kiukweli kweli.
Mmepata kisingizio cha kesho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom