..Simba Vs Kagera Sugara (was played on 14.10.08) Matokeo Simba 1 - Kagera 0.Hivi mechi hizo ni leo jumanne au kesho maana ratiba yenyewe ya ligi hata haieleweki.Kama zimepigwa leo tunaomba matokeo.
Yanga Vs Azam Fc inapigwa leo 15.10.08 ( Utabiri wangu Yanga 1 - Azam 2)[/QUOTE said:kama itakuwa hivyo Azam watakuwa wametusaidia sana sisi SSC maana atakuwa amepoteza mechi tatu na yeye usiniulize ya tatu ni ipi wakati unajua trh 26 oct 08 yebo yebo tutamtwanga tena tuna hasira..........
Vipi utabiri wa Yanga 1 Azam 2 umetimia?
..Tunakusubiri trh 26.10. ujaribu kwa mkubwa mwenzio tuone cha moto!!dua la kuku halimpati mwewe! Yanga 3 Azam 1