kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,316
- 12,614
Azam anamiliki timu kwenye ligi ni mdhamini wa ligi kuu yote wakati GSM anadhamini timu za Yanga, Namungo, Coastal na Singida tu. Kwanini kuna watu wanataka kuonyesha kuwa GSM anainuisha yanga zaidi kwenye ligi kwa udhamini wa timu chache kwenye ligi?
Unapotaka kuhoji ushindi wa Yanga anza kwanza kuhoji matokeo ya Yanga dhidi ya Simba (5-1), KMC, Polisi, CR Belouzdad, JKT, Mediama, Zalan, TP Mazembe, Marumo, Africane, Marumo, na Prison.
Unapotaka kuhoji ushindi wa Yanga anza kwanza kuhoji matokeo ya Yanga dhidi ya Simba (5-1), KMC, Polisi, CR Belouzdad, JKT, Mediama, Zalan, TP Mazembe, Marumo, Africane, Marumo, na Prison.