Yanga imetikiswa na inasimama mwishoni

Unapokuwa na Project/ Malengo ya Muda mrefu Lazima uwe na uwezo wa kuwa na wachezaji Angalau kwa miaka mitano.

Otherwise tutakuwa TUNAPINGA mark time.
Nikweli hata mimi hapo awali nilifikiri kama wewe lakini hawa wachezaji ni binadamu ambao huwezi fikiria wanachowaza, viwango vyao, (skills), vinasababisha vilabu vingine viwawahitaji na kuwarubuni hatakama kuna gharama za kuvunja mkataba
 
Unapokuwa na Project/ Malengo ya Muda mrefu Lazima uwe na uwezo wa kuwa na wachezaji Angalau kwa miaka mitano.

Otherwise tutakuwa TUNAPINGA mark time.
Ni timu kubwa ambayo ni tajiri ndio wanaoweza kubakisha wachezaji wao wa hudi na uvumba, ila tusinganyane kwa timu zetu za Tanzania hakuna anayeweza ku battle na timu kubwa kwenye kugombania mchezaji labda itokee mchezaji mwenyewe kaaua tu kubakia au kupenda kucheza kwenye timu za kibongo lakini sio kwa kutunishiana musuli kwa madau manono.
 
Back
Top Bottom