Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 708
- Thread starter
- #21
Nadhani utakuwa umepata majibu ya yaliyotokea pale mkwakwani,hata huko unakosema ulaya hii ishu ipo pia wote tunaangalia na kufatilia hizo ligi.Sababu ya kijinga hiyo. Nani aliyekwambia mpira wa siku hizi unanyumbani na ugenini. Tazameni mpira ya ulaya then ndio mtajua mpira vizuri. Mbona Azam non stop.