Lete Aya tuone.Satanic verses.
Lete Aya tuone.Satanic verses.
Cc: CAPO DELGADOLete Aya tuone.
Yenyewe ndiyo bangi halisi na mkulima wake anaitwa allah.Hivi Quran imechanganywa na bangi gani?
Jiheshimu.Yenyewe ndiyo bangi halisi na mkulima wake anaitwa allah.
Nisamehe sheikh wangu.Jiheshimu.
Si umeona hapo wameuliwa wanajeshi sio raia, na wao waisrael wapige wana mgambo sio watoto njiti
Vita havina machoSi umeona hapo wameuliwa wanajeshi sio raia, na wao waisrael wapige wana mgambo sio watoto njiti
Kupigana na mtu ambaye yuko field kila siku ni kazi sana idf wengi Ni reserve hawako train kukabiliana na commandos wa hamasa, watapukutishwa Sana. Hata wanajeshi wa USA siyo wazuri kwenye face to face wanasaidiwa sana na ndege na vifaa bora walivyo navyo. Sasa IDF kwenye Urban combat watachinjwa sana.Idf wanakufa, sema media za magharibi zinaficha tu
Vita ya ardhini ni zero kabisa hao jamaa, hata wapiga matofali wanawamudu vizuri tu
Huu msemo wanapaswa wazungu waambiwe pindi mabomu ya Urusi yakitua Ukraine , kuwa vita haina macho , kama wanalalamika na wengine wanahaki ya kulalamika piaVita havina macho
View: https://youtu.be/XS8TiBE4yZM?si=YuWDxwnqBIj8cmWI
Wanakimbia huko Gaza na Missiles wanapelekewa kama mvua huko Yela Aviv
Wanaukumbi.
Ripoti kwamba Jeshi la Iran limejiweka tahadhari na kuanzisha mazoezi makubwa ya kijeshi lipo tayari kwa vita kuanzia sasa hivi.
==========================
BREAKING: Reports that Iran's Armed Forces raised their alert level and launched a large military exercise.
View attachment 2820828
Source: Israel Today.
umempa jibu linalomfaa. mamaeeQur'an ni kitabu takatifu hakishikwi na wenye mavi mpa akajitawaze awe msafi.
We ukisha wacha tembea na mavi karibu ukisome kitabu hicho utapata faida.
Nyengine zitafuata mpaka wengine hawaamini wanasema ni video game.
Walikata umeme gaza halafu wanaenda hahaha. hamas wanawaokota kama maembe hawajui Hamas wanatokea wapi na wanajeshi wengi ni mashoga.
Hezibolla wameteketeza kambi na kikosi kizima Cha IsraelHakuna vita ngumu kama urban warfare, imagine unapita katikati ya barabara ya mtaa na silaha halafu kulia na kushoto kuna majengo mabovu, mbele kuna magari mabovu. Hujui adui yupo kajificha wapi, unashangaa tu risasi zinatokea upande wa kulia kwenye kadirisha ka ghorofa lillilotelekezwa, unaanza kukimbia ku take cover kuja kuangalia wenzako kama wanne wapo chini.
Hii inapelekea Israel kupiga kila mahala baada ya kuchanganyikiwa, Hawa Hamas wanatoka nyumba nyingine kuelekea nyingine kupitia tunnels.
Lakini ukimwambia myahudi wa Namtumbo hakuelewi, Hamas hadi kuchimba hizo tunnels ina maana wanazifahamu sana sehemu nyingi na hayo mazingira kuliko hao vijana wa IDF, hata mission ya Navy Seal kwenda kummaliza Osama walifanya mazoezi kwa miezi kwa mfano wa nyumba ya Osama, hivyo vitani kufahamu maeneo au mitaa hasa urban warfare ni advantage kubwa,Hamas wanajua pa kuingia na kutokea, ku take cover, hao madogo wa IDF lazima waujue tu utamu wa asali.