Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,263
- 32,779
IOF ilishiriki video nyingine ya propaganda inayodaiwa kuonyesha maendeleo yao ndani ya Ukanda.Zamani Hakukuwa na Technology kama sasa, IDF wanakufa kindezi kweli, ukiona Video za Hamas unaona kabisa hamna kitu pale, kila baada ya siku 2 ama 3 Hamas wanatoa Video wakionesha makumi ya Vifaru yalipuliwa.
Mfano hii video ya Juzi
View attachment 2820779
Ukiangalia hio video Hamas hapati upinzani wowote, wanatega tu sehemu wanawalipua IDF wanasepa.
IDF wanabakia tu kuua vizee na Vitoto mpaka leo hawajui Hamas wanatoka wapi.
Ninachokiona ni makomando wa Kiisraeli wakifyatua risasi kwenye kuta tupu, nyumba, na ardhini katika kujaribu kuwashawishi watu wao kwamba jeshi lao linashiriki katika mapambano ya ardhini yenye mafanikio.
😂