ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,973
- 50,687
Hello 👍👍
Jana CHADEMA walikuwa na Mkutano wa Hadhara Sumbawanga, cha ajabu Mkutano ulikuwa wa Kumpamba Mbowe Ili aendelee kuwa Mwenyekiti na kwamba anatosha huku wakiacha kunadi sera zao.
Mbowe naye kama kawaida yake aliishia kumponda na kumtukana Mwendazake Kwa kile alichoita kwamba anatokea Mwendazake wazimu mmja anazuia furaha ya Watanzania na hivyo Mungu akafanya yake. 😁😁
CHADEMA punguzeni manung'uniko na makasiriko jengeni hoja naona watu wanawa-zoom tu.
Jana CHADEMA walikuwa na Mkutano wa Hadhara Sumbawanga, cha ajabu Mkutano ulikuwa wa Kumpamba Mbowe Ili aendelee kuwa Mwenyekiti na kwamba anatosha huku wakiacha kunadi sera zao.
Mbowe naye kama kawaida yake aliishia kumponda na kumtukana Mwendazake Kwa kile alichoita kwamba anatokea Mwendazake wazimu mmja anazuia furaha ya Watanzania na hivyo Mungu akafanya yake. 😁😁
CHADEMA punguzeni manung'uniko na makasiriko jengeni hoja naona watu wanawa-zoom tu.