Naona baada ya kutelekezwa na Nape muda mrefu bila malipo hadi ukahamia kwenye jukwaa la CHIT CHAT kuchekacheka na mademu wa JF kutwa nzima Mzee Mzima Rejao umerejea kwa kasi sana kula hela za CCM kwa propaganda zako. GoodLuck brodaTusubiri tuone..tar 1 siyo mbali!
Mkapa + Mwigulu, ushindi lazima.
CDM sioni sababu ya viongozi wote kuanzia mwenyekiti, katibu mpaka viongozi wa kada za chini kwenda kujikusanya Arumeru. Haya ni matumizi mabaya ya fedha za chama.
Wachagueni wawakilishi wachache mnaoamini wanaweza kuwaletea ushindi.
Mkapa + Mwigulu, ushindi lazima.
CDM sioni sababu ya viongozi wote kuanzia mwenyekiti, katibu mpaka viongozi wa kada za chini kwenda kujikusanya Arumeru. Haya ni matumizi mabaya ya fedha za chama.
Wachagueni wawakilishi wachache mnaoamini wanaweza kuwaletea ushindi.
Mkapa + Mwigulu, ushindi lazima.
CDM sioni sababu ya viongozi wote kuanzia mwenyekiti, katibu mpaka viongozi wa kada za chini kwenda kujikusanya Arumeru. Haya ni matumizi mabaya ya fedha za chama.
Wachagueni wawakilishi wachache mnaoamini wanaweza kuwaletea ushindi.
Rejao=Ke_ge
Hii haionyeshi kuwathamini wananchi bali nidhamu ya woga! Kama mtu wenu ni mzuri, haitaji mass support!hii inaonyesha cdm yote inawathamini watu wa meru!!
Mkuu matumizi mabaya ya fedha ni kuwalisha watu pilau pale kirumba.
Kheeeee! Wapi CCM imeiba hela BOT?Pilipili usiyoila yakuwashiani? Mmmesahau mlivyoiba pesa ya Kagoda BOT ili mshinde na mpaka leo mwashindwa kumpeleka Rostam Mahakamani, Nyie CCM ni mijizi iliyokubuhu na hamna huruma kwa watanzani na yafaa mg'olewe kama daktari anavyotoa saratani kwa mgonjwa wake
Hauna cha kushangaa..CDM hawana ubavu wa kushinda Arumeru! Umesikia lini CDM wameshinda kwenye chaguzi ndogo?Nitashangaa CDM wakishindwa uchaguzi huu kwa namna yeyote! Kwanza Mgombea ubunge wa CCM hajazoea mikiki ya siasa kama wa CDM na hata uwezo wa kujenga hoja zilizokomaa Nassari ni mzoefu.Pili Mkapa anaekwenda kumpigia debe Sioyi ana kashfa lukuki kama Chadema wakianza mapema kuanika yote tena bila Aibu Mkapa atanywea,Tatu tycoon wa uchaguzi wa Arumeru ni EL ambaye na yeye hasafishiki na uozo wake ukianikwa vizuri kwisha kabisa.Siyoi hawezi kushinda bila akina EL hivyo ukitaka mifugo watawanyike piga mchungaji wao! Tatizo la CDM siku hizi toka wadanganywe kuwa eti hawana lingine zaidi ya ufisadi nao kelele zimepungua hadi Mkapa na El wanapata ujasiri wa kupambana nao majukwaani! Akina Dr Slaa,Lisu,Mbowe,Mnyika,Zitto,Mdee na wengine waumbueni hasa hao mafisadi hadi wakimbie huku mkiwaeleza wana Arumeru mtawafanyia nini!! Narudia tena Chadema mkishindwa Arumeru hata kama mtaibiwa kura mchana kweupe ndio Kifo rasmi cha upinzani kukamata dola! Ni wajibu wenu kudhibiti kila hila kwa mbinu zote! Nawatakia kheri!
Mkapa + Mwigulu, ushindi lazima.
CDM sioni sababu ya viongozi wote kuanzia mwenyekiti, katibu mpaka viongozi wa kada za chini kwenda kujikusanya Arumeru. Haya ni matumizi mabaya ya fedha za chama.
Wachagueni wawakilishi wachache mnaoamini wanaweza kuwaletea ushindi.
Chit Chat nimekuwepo miaka yote since najoin JF..Naona baada ya kutelekezwa na Nape muda mrefu bila malipo hadi ukahamia kwenye jukwaa la CHIT CHAT kuchekacheka na mademu wa JF kutwa nzima Mzee Mzima Rejao umerejea kwa kasi sana kula hela za CCM kwa propaganda zako. GoodLuck broda
Arumeru kuna Mwigulu na Mkapa tu, tena mkapa anaenda tu kwenye ufunguzi, kazi yote inabaki kwa Mwigulu. Hiyo serikali unayosema iko wapi?Rejao,unapaswa kuelewa kwamba pale arumeru CDM si tu inapambana uso kwa uso na kikosi kamili cha ufisadi nchini.Lakini pia CDM inapambana na chama cha siasa ,serikali yake yoote pamoja na uhasama wake wa Taifa
Kama wao wanashimdwa kuwaacha wazee wastaafu kama mkapa apumzike kwa nini unawashangaa CDM kuweka timu yake yote pale wakati unaelewa ni muhimu kwao sasa kuwa pale ili kuhakikisha hawarudii kosa kama awali..jambo llilo wapa ccm nafasi ya kuchakachua matokeo.
Huna haja ya kutumia hiyo dashi!Rejao=Ke_ge
Tunavishauri vyama vyote hasa CDM na CCM kuonyesha siasa za ukomavu kwa faida ya wana Meru na Nchi kwa jumla, .
Rejao kikwetu ni nguruweHuna haja ya kutumia hiyo dashi!
Kuwa mwanaume wa kweli, acha nidhamu za woga!