Yamoto band kwa speed hii hamkamatiki

Lakini Fella namuaminia sana linapokuja suala la management katika muziki... Fella ni mzoefu kwenye haya mambo; it's almost ten years now so, I believe anajua anachokifanya!! Unajua muziki wa bendi ni wa jukwaani sasa unapofanya muziki wajukwaani ni lazima audience ifahamu nyimbo zako ili pawe na participatory show kati ya musicians na audience... sasa kwavile Ya Moto haina muda mrefu nadhani ni sahihi kuifanya audience izifahamu angalau nyimbo tatu nne kutoka kwao ili mkikutana jukwaani mchizishane... nothing disappoint kwenye muziki wa jukwaani kama mnaimba, mnhangaika huku na kweli lakini audience inawakodolea macho tu... hawatoi ushirikiano kwavile nyimbo zenu hawazifahamu! Kwavile wanaanza... wanahitaji kutambulisha nyimbo zao chache ili biashara iweze kunoga!!

Kwa upande mwingine wanaweza kuwa right kutoa nyimbo nyingi maana mziki wa live unahitaji nyimbo za kutosha na prngine tunazo zisikia hazijatolewa rasmi maredioni!

All in all Fella namuaminia sana na ninapenda kazi za hawa madogo sana wanaimba nyimbo zinazo endana nao na zinazo gusa watu wote!
 
Kwa upande mwingine wanaweza kuwa right kutoa nyimbo nyingi maana mziki wa live unahitaji nyimbo za kutosha na prngine tunazo zisikia hazijatolewa rasmi maredioni!

All in all Fella namuaminia sana na ninapenda kazi za hawa madogo sana wanaimba nyimbo zinazo endana nao na zinazo gusa watu wote!
Ki ukweli madogo wanajua... si utani nadhani hata Skylight Band sasa ndo kapata mshindani kweli kweli wote wanapiga staili ya muziki wa bendi wenye bongo flavor.
 
Hiyo ndio sababu kubwa... bendi lake ni jukwaa na unapofanya muziki wa jukwaani unanoga pale tu kunapokuwa na ushirikiano kutoka kwa mashabiki na ushirikiano unakuja pale tu mashabiki wanapozifahamu nyimbo zako! So, kabla mtu hujapanda jukwaani inapendeza mashabiki wanapokuwa wamezifahamu angalau nyimbo tat hadi tano! Fella linapokuja suala la muziki huwa habaatishi... huwa anafahamu anachokifanya!

Yaaah yaah muzuki wa live unahitaji nyimbo za kutosha na nyingi huwa zinaanza kuhit majukwaani kabla ya redio! Tofauti na wabongo fleva wanao imba dakika tatu kila show wimbo huo huo mwanzo mwisho!
 
NASDAZ NA RUTTASHOBOLWA Mulichokiongea ni kweli mtupu nakubaliana na nyinyi kwa 100%
 
wimbo umetulia,napenda chorus na pale anapoimba Aslay kachukua tune ya wimbo fulani miaka ya nyuma toka kongo kama sikosei
 
Dogo asley alipata mtoto!

Mhhhh ni sheedah mazee,yule naye asipokua makini atakufa kwa ugonjwa wa kifua maana wadada/mashangingi ya mujini yanamgombania hatariiii
Hivi bado anasoma?kumbukumbu zangu alitakiwa awe anafanya nexta this time
 
Hivi mimi nitoe kiingilio changu kwenda kwa Jux mwenye nyimbo moja au Ommy Dimpoz mwenye nyimbo 3? No way.

Aaaarrrggg hata bure siendi kwenye show za hao walamba lips wa mjini mimi....
 
Hivi mimi nitoe kiingilio changu kwenda kwa Jux mwenye nyimbo moja au Ommy Dimpoz mwenye nyimbo 3? No way.

1. Nainai
2. Baadae
3. Me & U
4. Tupogo
5. Miss Koikoi
6. Ndagushima

# Get your facts right
 
Ki ukweli madogo wanajua... si utani nadhani hata Skylight Band sasa ndo kapata mshindani kweli kweli wote wanapiga staili ya muziki wa bendi wenye bongo flavor.
Hao jamaa sisikiagi nyimbo zao zinachezwa wapi hadi walinganishwe na Yamato Bendi.
 
Back
Top Bottom