yamenikuta......

Ndo maana,watu wameleta thread za mwanamke juu hapa sijakuona kutia neno kumbe umefichwa!?! dadadeeeki! strength of a woman!
 
Mkuu bishanga,...
Huku mi najilia kakitu ka binti yako manake mama ake hayupo home toka uondoke sasa sisi baba na mama tunaicheza kwa kwenda mbele...
 
kimya kingi kina mshindo,hivi mnavyoniona ndo nimejificha chooni na ka kanokia tochi natuma ka post haka.
Nilipata safari ya kikazi bujumbura,sijui shaitwan gani aliniingia nikaenda eneo la muyenza,huko nikaopoa kimwana anaitwa Theopista,mwanamke wa kinyamlenge,kwanza bishanga sikuamini nimemwopoa.Mwanawane kanifungia chumbani leo siku ya nne,sifikirii wala siwazi kurudi kwa mama kayaii Kongosho embu nenda kafukizie kwa babu kimanzichana angalau nipate kareji ya kujitutumua nipande basi la kurudi dar.
Ila jamani raha inaniua hapa....

pole ndio ukubwa huo ndugu..
 
Last edited by a moderator:
kimya kingi kina mshindo,hivi mnavyoniona ndo nimejificha chooni na ka kanokia tochi natuma ka post haka.
Nilipata safari ya kikazi bujumbura,sijui shaitwan gani aliniingia nikaenda eneo la muyenza,huko nikaopoa kimwana anaitwa Theopista,mwanamke wa kinyamlenge,kwanza bishanga sikuamini nimemwopoa.Mwanawane kanifungia chumbani leo siku ya nne,sifikirii wala siwazi kurudi kwa mama kayaii Kongosho embu nenda kafukizie kwa babu kimanzichana angalau nipate kareji ya kujitutumua nipande basi la kurudi dar.
Ila jamani raha inaniua hapa....
We babu jinga mbona unahangaika na hivyo vibinti mbona mke wako amekamilika kila idara, nipo naye hapa kitandani ananipa maraha sijawahi pata tangu nizaliwe.
 
Mkuu bishanga,...
Huku mi najilia kakitu ka binti yako manake mama ake hayupo home toka uondoke sasa sisi baba na mama tunaicheza kwa kwenda mbele...

We Mandingo, wewe si ndio starring kwenye zile movie zetu zile, si utakaharibu hako kabinti, maana!
 
Back
Top Bottom