Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
kimya kingi kina mshindo,hivi mnavyoniona ndo nimejificha chooni na ka kanokia tochi natuma ka post haka.
Nilipata safari ya kikazi bujumbura,sijui shaitwan gani aliniingia nikaenda eneo la muyenza,huko nikaopoa kimwana anaitwa Theopista,mwanamke wa kinyamlenge,kwanza bishanga sikuamini nimemwopoa.Mwanawane kanifungia chumbani leo siku ya nne,sifikirii wala siwazi kurudi kwa mama kayaii Kongosho embu nenda kafukizie kwa babu kimanzichana angalau nipate kareji ya kujitutumua nipande basi la kurudi dar.
Ila jamani raha inaniua hapa....
Nilipata safari ya kikazi bujumbura,sijui shaitwan gani aliniingia nikaenda eneo la muyenza,huko nikaopoa kimwana anaitwa Theopista,mwanamke wa kinyamlenge,kwanza bishanga sikuamini nimemwopoa.Mwanawane kanifungia chumbani leo siku ya nne,sifikirii wala siwazi kurudi kwa mama kayaii Kongosho embu nenda kafukizie kwa babu kimanzichana angalau nipate kareji ya kujitutumua nipande basi la kurudi dar.
Ila jamani raha inaniua hapa....
Last edited by a moderator: