Yaliyomkuta Abdul Jumbe yatamkuta Mwanasheria mkuu wa Zanzibar Mh Othman ?




sheria ni mbmumbumbu sijawahi kuona, NAKUMBUKA THE ORIGINAL COMEDY walipokwenda Zanzibar walikuwakuta wakazi wengine kule ni "MNDEMBWEDO" huyu mwanasheria atakuwa mmoja wao

Huyu mwanaKisharia Mh Othman Masoud yeye aliapa kuilinda katiba ya Znz na alichofanya ni kuhakikisha maslah na ustawi wa Znz unapatikana katika katiba mpya. Na pale alipoona kuna kuminywa kwa haki hizo na matakwa hayo alikuwa na haki zote kupinga kwa kula hali na aliposhindwa alijiondosha katika kamati ya Uandishi kwa kutoa sababu zake..

Na hata alipopiga kura amevikataa vifungu vyote visivyo na maslahi kwa Znz. Huyu ni jasiri sana na mkweli na anasimamia haki na maslahi a katiba ya Znz. watu hawa ndio wale wa kupongezwa.

Si kama alivyokuwa mh Kessy amejitahidi kuinanga na kuitetea Tanganyika lakin katika kupiga kure AMEUFYATA na kupiga kura ya NDIO kwa katiba nzima. Watu wa aina hii tunawaita WANAFIKI








 
tatizo tangu mwanzo ni jinsi wajumbe wa bunge hili walivyopatikana hata hivyo naomba mwenye majibu anipe huyu mwanasheria alikuwa anapiga kura kwa niaba ya nani serikali ya mapinduzi zanzibar au ccm zanzibar au kama mjumbe binafsi kama alivyo ona yeye katiba ni ya serikali au ya wananchi?

alikuwa anatekeleza jukumu lake la kazi yake.i
 
Nahisi Shein alikuwa anamuunga mkono Othmani katika hoja za Zanzibar kwenye rasimu.

Ila najua Dodoma wamepiga simu kuwa kama Shein anataka kutia mguu kwenye ukabidhi wa rasimu, lazima aje na mwanasheria mkuu, na kwa vyoyote vile, huyo asiwe Othman
 
Nimeamini tatizo la wazanzibari ni mzanzibari mwenyewe. Wa znz ni wanafiki sana. Jow hard is it for then to unite as one? Hawatofika kokote kama wenyewe kwa wenyewe wako hivi
 
Nahisi Shein alikuwa anamuunga mkono Othmani katika hoja za Zanzibar kwenye rasimu.

Ila najua Dodoma wamepiga simu kuwa kama Shein anataka kutia mguu kwenye ukabidhi wa rasimu, lazima aje na mwanasheria mkuu, na kwa vyoyote vile, huyo asiwe Othman
Tuko

Kwa kiasi kikubwa Sana nakubaliana na hisia zako!
 
Last edited by a moderator:
Yametimia, mulinibeza kwenye hii thread mujue watu wanaijua ccm vzr na tabia zao
 
Nahisi Shein alikuwa anamuunga mkono Othmani katika hoja za Zanzibar kwenye rasimu.

Ila najua Dodoma wamepiga simu kuwa kama Shein anataka kutia mguu kwenye ukabidhi wa rasimu, lazima aje na mwanasheria mkuu, na kwa vyoyote vile, huyo asiwe Othman

Mwandishi Wang kutoka pemba kasahau kumtaja Ali yemchongea aboud jumbe na huyo MTU ndye aliyeshka kidete aboud jumbe afukuzwe kwa tamaa yake ashke madaraka yeye huyo c mwingne Bali maalim seif je Leo tumuite vipi?
 
Nimeamini tatizo la wazanzibari ni mzanzibari mwenyewe. Wa znz ni wanafiki sana. Jow hard is it for then to unite as one? Hawatofika kokote kama wenyewe kwa wenyewe wako hivi

Ulimsikia keissy mbunge wa tanganyika alivyokuwa akiwadhihaki wazanzibar kwenye bunge la katiba?nenda kaangalie kura yake ya ndioooo..ilivyokufanyeni watanganyika kuwa nchi yenu itakuwa shamba la bibi milele,huyo ndie mnafiki mtanganyika
 
Back
Top Bottom