KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 963
duh we mtu una roho mbaya sana, na una roho mbaya kama mafisadi ya ccm, kwani yanafurahia watu wanapoangaika ata kuua, wewe una msukumo wa roho mbaya ya ccm magamba. Watu pia viongozi wa ccm magamba hapo wanawaza jinsi posho ztakavyotoka zaidi ya umuhimu wa shughuli yenyewe ya kuwakumbuka marehemu,tunawashukuru viongozi wetu kwa kuitikia wito uhu wa maadhimisho aya na ni muhimu viongozi wetu watupe pia machache juu ya dhuluma na maovu kwatanzania wanayoendelea kufanywa na mafisadi ya ccm, pia mchakato wa katibaukishakufa umekufa hata wakienziwa haina maana ni wastage of time tu sana sana hao viongozi wa kitaifa wanataka wagawane posho tu na kutafuta sifa over..!