Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,806
- 218,456
Tunakushukuru kwa updates
Wewe utakuwa hukuwa na Shida ya kupiga kura. Lala tu.Wakuu nina shida
1.sikumbuki kituo cha kupigia kura
2.Kitambulisho kimepotea
3.Namba ya kitambulisho siikumbuki
Na ninataka kupiga kura
hao ni chama bandia, haina shida achana naye!.Kuna mgombea mmoja wa urais HANA KITAMBULISHO CHA KURA HIVYO KAKATALIWA ni wa chama cha UPDP bwana Kadege
Mkuu naona mapema sana
Wapi huko mkuuNimepiga kura katika kituo kimoja hapa nchini, nilichokishuhudia kwa macho yangu ni kwamba ndani ya chumba kinachoratibu upigaji kura hapo kituoni, wakala wa CHADEMA amezuiliwa katakata kuingia katika chumba hicho.
Humo ndani nimekuta wakala wa CCM akiwa ametulia peke yake.
Wakala huyo wa CHADEMA kwa uchungu amekaa nje huku kukiwa na askari wa kituo maeneo hayo akiangalia kwa makini ili asifurukute.
Huu ni uporaji wa haki ya mtanzania kupata kiongozi kwa ridhaa yake bila uchakachuaji.
Pia na taarifa za mawakala wa CHADEMA kuzuiwa kuingia katika vyumba vya kkutoka vituo vingine vya jirani ni hizohizo.
CCM wameona hali imekuwa ngumu kwao, wameamua kufanya uhuni na dhulma.
Kitendo hiki cha kidhalimu ni ushahidi kuwa CCM imekosa ridhaa ya wananchi wanalazimisha ushindi.
Ngoja tuendelee, lakini ukweli ni kuwa NEC inaharibu huu uchaguzi.
Wewe utakuwa hukuwa na Shida ya kupiga kura. Lala tu.
Vituo vingi wapiga kura wengi wanawafokea mawakala wa chadema kwa kuwatuhumu na kuwa fokea wafanyakazi wa tume, hivyo wapiga kura hao kuchukizwa na hivyo vitendo na kuwaambia hao mawakala wa chadema wanataka kulianzisha kitu ambacho hakipo.Sio wewe peke yako watanzania karibia asilimia hamsini (50%) wamelitekeleza ,kila anaetoka unamsikia tiki kwa wa mwisho ,wa mwisho kuwa wa kwanza kwenye matokeo, ndio codes ya ushindi.
Utetezi dhaifu sana huu, kwani waliondaa ratiba ya wagombea urais kurejesha form ni nani kama sio hao hao NEC CCM?Tume ya taifa ya Uchaguzi wameweka jina la Lissu mwisho kama ambavyo alikua wa mwisho kurejesha fomu za kuteuliwa na tume, Hawajafanya hivyo kimakosa ila kiimani wanasema wakwanza atakua wa mwisho na wa mwisho atakua wa kwanza.
Jiandae 2025Wakuu nina shida
1.sikumbuki kituo cha kupigia kura
2.Kitambulisho kimepotea
3.Namba ya kitambulisho siikumbuki
Na ninataka kupiga kura
Sharti lazima ujue ulijiandikisha wapi kupiga kura. lingine ukikosa kitambulisho cha kupiga kura unaweza kwenda na kitambulisho cha NIDA lakini majina ya kitambulisho chako cha NIDA lazima yafanane na yale yaliyokwenye 'daftari la mpigakura'!Wakuu nina shida
1.sikumbuki kituo cha kupigia kura
2.Kitambulisho kimepotea
3.Namba ya kitambulisho siikumbuki
Na ninataka kupiga kura
Kweli mkuuHahahahaha hakulaliki
Huku kwingine sijui mvua imetokea wapi, ni kero tu
Hii Ina athari kuna mama mmoja anasema ameingia akamwona Magu pale juu kapi baadae akamwona LISSU naye akampigia. Kwahiyo hiyo imeharibika.Eti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana...
Akili zenu mnazijua wenyewe! Sasa badala ya kwenda kupiga kura 'munadata' na Ngurumo, ambaye hakujiandikisha kupiga kura!Tumesha sign petition ya Ngurumo, dunia ujue yanayo endelea Tanzania.
Huyo Magu wako anachukua nchi kuipeleka wapi?!Kwa Hali inavyoonekana tayari Jiwe ana kura millioni 3, ikifika saa tano asubuhi ameshachukua nchi