Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,077
- 8,333
Anaelalamika maisha magumu ni ww na familia yako
Duh leo kuna vijembe humu
Anaelalamika maisha magumu ni ww na familia yako
Unaona umeshindaaaaa.For your information Serikali ya JPM ilianguka ijumaa.Kwa kawaida Redio au TV ikiyekwa maana yake aliyeiteka ndiyo Rais wa siku au muda ule.Hivyo Makonda alikuwa Rais ni Mpumbavu kama wewe watashangilia alichofanya huyo punguani wako Bashite.
Hii Ya Taulo Hii Inahitaji Umakini Zaidi La Sivyo......."'wahenga walisema tumia taulo lako vizuri maana kipande ulichofutia tako asubuhi waweza futia mdomo jioni"'
Nimeipenda hii
Jf sihami ila bando sasa. Msamaria mwema baso hata mia tano[/QUOTE
Tumia freebasic mkuu hamna haja ya bando bureeeeeeee tena dowload app yao
Kama yapi? Ivi kukemea Vyeti feki na umafia unaofanywa na wateule ni udaku?Kwanini chadema ndio mnashadidia sana mambo ya udaku
kwasasa nchi inaongozwa na jeshi la mtu mbili tu.Hivi Jakaya yuko wapi?Anafuatilia kweli hii amsha amsha inayoendelea?
Hakuna mtu wa kujiuzuruMheshimiwa Nape bado hajaongea na waandishi wa habari au kujiuzuru mpaka muda huu!?
Poovu hiliKama aliondoka Lowassa na CCM IKO PALEPALE NA MWINGINE MWENYEKUTAKA KUONDOKA MILANGO IKO WAZI YA KUTOKEA.
Hahahaaaa hii mechi ni kal sana.kwikwikwi, leo ngoja nione kati ya mbwa na mwenye mbwa ni nani mbwa. Baba kasema kijana afanye kazi sasa subiri tusikie kauli ya huyu mtoto mwingine wa baba
Sijui unakuwaga maeneo gani unapo andika hoja zako yaan ni kituko juu ya kituko sijui nimiongoni mwa wale walio soma shule inje ya mfumo rasmi mana unaandika utumbo haswaaa ndio nn sasa umeandikaHapa kazi tu
Furaha Mh. Makonda anasingiziwa
Naona waliosoma na uwaziri wote wanachagua tume ya upande wa upande huo huo, ha ha haaaaa viroja... hata kujaribu kuvuta wawili wa kwingine halafu ungejaribu kutegemea watatu uliowapanga wapi fikra hazikuwepo. Huwa nasema hamjui uongo. Nendeni shule za uongo mkafundishwe
Tume ina wa
1. Idara ya habari
2. Jukwaa la wahariri
3. Mhariri gazeti la Nipashe
4. Wapo redio
5. TCRA
Hapa ha ha haaaaaaa, gemu mbovu aliicheza na afikirie next time kupanga mambo na kusubiria.
Halafu kujiuliza by Mon morning aliwapataje wakawa wameshakubali kazi hiyo, na alifika mida hiyo hiyo ofisi za kwenye tukio.
Nape nape, hukujipanga danganya hao wafata mikumbo sio akina sisi.
Uongozi tunauona kwa Makonda
Jembe la Taifa
Makonda oyeeee
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye, leo Jumanne, Machi 21, 2017, atakuwa na Mkutano na Waandishi wa Habari, Saa 7 mchana katika Ukumbi wa Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA). Atatoa msimamo wa Wizara ya Habari kuhusu kadhia ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, baada ya kuvamia ofisi za Clouds Media.
Jana asubuhi Waziri Nape aliunda Kamati ya watu watano ikiongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo ambaye pia ndiye Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas, ili kuchunguza tukio alilolifanya Makonda kabla ya kutoa tamko rasmi la Wizara anayoiongoza.
==========
UPDATES:
Tunasubiri wahusika kufika ukumbini baada ya kufika tutawataarifu muendelee kuwa na subira.
Mpaka muda huu 13.28 wahusika hajawafika ukumbini.
Taarifa kutoka kwa Waziri wa Habari na Michezo Nape Nnauye.
"Kuna simu nyingi juu ya ripoti. Nawaomba tutulie Kamati wanamalizia kazi yao, ikikamilika tutataarifiwa muda na mahali nitakapokabidhiwa!" - Nape Nnauye
utangoja sana. nape ameunda kamati ya uchunguzi chini ya sheria ip??????Jamani, jioni ndio hii, masaa 24 yamekwishapita kitambo ila hakuna tulichotarajia kukisikia!
Sio kesi, sasa naomba kujua taaluma gani ilizuia kutoa habari ambayo haikuwa inabalance story kitaaluma ambayo ilishinikizwa kurushwa ktk luninga wakati huohuo kukarushwa kipindi cha taarifa ambayo nayo haikuwa imebalance stori na watu wakashangilia!?
Taarifa ya Ruge kumbe nayo kitaaluma ilipaswa itolewe kukiwa tayari na stori zinazobalance pande mbili!
Pamoja na Nape kuliona hilo, aliruhusu taarifa na kuipongeza wakati haikuwa inabalance stori na yeye kwa kujisahau ama kutumika vibaya akaunda kamati ambayo itatoa tathmini halisi ya kinachotajwa kwa kuzingatia pande zote mbili, cha kushangaza akatoa laana kadha wa kadha kwa kusikia stori ya upande mmoja!
Sasa watu na taasisi mbalimbali wanaendelea kutoa matamko na laana lanja wa kadha kwa kupitia kauli ya Nape kuhukumu mora kwa moja bila kusubiri ripoti ya Tume aliyoiunda!
Vipi endapo kamati wamebaini story ilikuwa ya kupikwa, itahitokezaje mbele ya kamera kutoa ripoti ukizingatia matamko na laana zilizotajwa na watu juu na RC wenu?
Hii si ilikuwa ni sawa na kumkamata mtuhumiwa na hatia ama uthibitisho mkononi kwa kuwa cctv camera zilirekodi matukio?
Vipi mpaka sasa ripoti haitoki? Aidha, kwa akili zangu yaweza kuwa Makonda kakataa kutoa ushirikiano kwa kuwa tayari upande mmoja na waziri wamekwishatoa hukumu na matamko kadha wa kadha!
Ndio maana nasema, tumeingizwa kanyabazongo!