Mikutano ya CHADEMA huwa inajaa wahuni wa kutosha. Ila kura za CHADEMA kwenye uchaguzi huwa hazijai hata siku moja.
MKUU musalani karibu tena baada ya kuyapata ya DODOMA! Pole sana na sijui kama kuna retreatment! Pole sana MKUU!
Mikutano ya CHADEMA huwa inajaa wahuni wa kutosha. Ila kura za CHADEMA kwenye uchaguzi huwa hazijai hata siku moja.
Mengi na timu nzima ya ITV ni washenzi, wanachofanya ni kuhujumu mkutano wa Chadema kwa kujikomba kwa CCM, hawa watu hawaaminiki ni muhimu sana Chadema tukawa macho, tuache kufanyanao kazi tutafundi TV nyingine hata kama ni Tv isyokuwa na umaarufu kama huo, kwa kuweka vipindi vyetu huku tutakuwa tumezisaidia kupanda chati
Nipo kwenye ruzuku Chadema na Mbowe.kwenye harakati za mabaadiliko ni mchadema.
wewe ukoo wako ni epa , richmond , escrow au upi?
Mbowe ni Mchaga, Lema ni Mchaga, Kiwia ni Mchaga,uwezi kubadili kabila mkuu, Lembeli ni Msukuma, Mnyika ni Mpare, Mdee ni Mpare, Dr.Magufuli ni Msukuma.
Lile fisadi lenu ndiyo mnaenda kulitangaza kugombea.
Wewe utakuwa Chadema kata-Mnyika ni Mpare mama yake ndiyo msukuma kwa hiyo kafuata kabila la mama?Mnyika ni msukuma,acha kudanganya
Ritz ni muislam, Mohamed Said ni muislam, Sofia Simba ni..., Riziwani Kikwete..., Mshume Kiate...Mbowe ni Mchaga, Lema ni Mchaga, Kiwia ni Mchaga,uwezi kubadili kabila mkuu, Lembeli ni Msukuma, Mnyika ni Mpare, Mdee ni Mpare, Dr.Magufuli ni Msukuma.