Dr.slaa yupo kyela kwa mkutano ambao umeathiriwa na mvua na kusimamisha kwa mda sasa,naona mh.sugu na viongozi kadhaa wa chama
kwani hivi sasa gongo halipikwi????
Muda mfupi baada ya kuwasili dr. slaa na msafala wake imeshuka mvua kubwa ikiambatana na radi na kusababisha mkutano wake kusitishwa kwa muda, mpaka hakuna taarifa rasmi zilizotolewa na uongozi wa chama (w) kama ziara hiyo itahairishwa au lah. wachunguzi wa mambo wanasema kutokana na mvua hiyo ujio wake umekuwa wa neema kutokana na wakazi wengi wa hapa wanategemea kilimo na wengine wamesema vigagula vya chama huenda wameshafanya yao hiyo ni kukubalika kwa chadema wilayani hapa source: Kifimboplayer
Mungu ana makusudi yake kuleta hiyo mvua hapo, labda anaepusha watu wake kulaghaiwa na huyu Padri aliyeikana ROZARI.