Yaliyojiri: Lowassa kuchukua fomu ya Urais Makao Makuu ya CHADEMA

Hivi anagombea kupitia chadema au ukawa?!?! Kwa maana hao naona viongozi wa chadema pekee vp ukawa imesambalatika...!
Wew jamaa ni mweupe sana kichwani kama kuna mtu anakulipa kuja kuleta propaganda humu mwambie kazi imekushinda..
Hiyo sherehe ni ya chadema kumpa fomu ya raisi hakukuwa na ulazima wowote wa ukawa kuwepo pale.
Ile ya juzi lazma wawepo kwa sababu wasingekuepp mngeanza kuleta porojo zenu humu kama ulizoanzisha wew hapa.
 
Ndugu wanajamvi! Habari
Kuja kwa lowasa cdm kumekuwa na athari nyingi kwa Taifa, kwa chama na kwa wanachama. Naomba tuangalie athari hasi kwa wanachama, kimsingi wanachama na wananchi wa kawaida waliamini kuwa cdm ni chama cha ukombozi na hawakutegemea haya yaliyo tokea ya kumpokea mmoja wa vinara wa tuhuma za vinywani za ufisadi, hili limewavuruga sana wanaumma hao!
Lakini la pili ni la kuvunja taratibu za chama ili kuumruhusu mheshimiwa apite bila kupingwa na hatimaye awakilishe ukawa kwenye nafasi ya urais!

Kwa hali hiyo nionavyo mimi kwa EL kimsingi hana sifa za kuwa mwanauma, na hivyo hawezi kuwa sauti ya umma, hatuna sababu ya kuumia sana ni mpitaji tu atapita na kuiacha cdm ya wanaumma japo itakuwa imejeruhiwa!

Wale cdm asilia bakini mkiisuburi cdm yenu maana muda si mrefu itapomponyoka na kudondokea mikononi mwenu!

Kama wewe waona tofauti waweza kuwa wa kwanza kujenga hoja!

I respect yo vision but u don't see the end game
Ana manufaa sana take t from me!
 
Ngoma bado mpichi sana, subirini ndio kwanza kunakucha, mmeshaona hali ya utata kutokana na ujio wa lowassa cdm na kupewa ugombea urais, basi subirini muone itakapo kuja wakati wa kumteua mgombea wa ukawa, kuna tetesi cuf hawamtaki halikadhalika nccr mageuzi, hapo ndio mtajua ni kwa kiasi gani upinzani umekuwa infiltrated na majasusi ambao lengo lao ni tumbo sio mageuzi na uchungu na nchi tanzania - kaaeni miguu sawa picha ndio kwanza inaanza
 
Hapo ndipo utakapolazimika kuwakubali CHADEMA. Baada ya kuharibu mechanism ya CCM sasa wameamua kuwaharibu kabisa ki saikolojia ili kila watakapoongea waonekana hamnazo, na ili kuharibu hiyo saikolojia kilichofanyika ni kitu kidogo sana...kumuweka Dr. Slaa off media.

Kama ni kweli basi they are very strategical aisee
 
unasema hivyo kwa sababu hujasikia kauli ya slaa...mh amekubaliana na maamuzi ya chama na ameshiriki kuyapitisha....au unapiga propaganda

Hutumuoni kwenye matukio mahimu kwa sasa badala yake tunamuona naibu katibu _ Zanzibar, jamani hebu tupoozeni kiu yetu tumuone Dr aliko!
 
Sipat picha lowasa akiwa rais kuna watu kama:
.Vasco da gama wa msoga na mwanaye watafute makaz kabisa Autralia.
. Nape nnauye atafute nchi yake,
. Bwana makonda naona alilewa uDc sasa sijui atakimbilia wapi.
. Mwakyembe kaka ukajisajili kabisa malawi,
. Mzee wa kusafirisha twiga kwenye box utajuta kuacha jeshi na kukimbilia siasa.

======== = ==========

sasa hatar zaidi ni pale huyu mzee atakapo shindwa kushika urais:
Chadema andaen jeneza maana mzee atazimia gafla na kukata moto
. Chadema ndio itakuwa mwisho wa ushindan kwenye siasa za Tz
Ndipo watakajua nchi hii ni ya watanzania wote. Mgirik anzisha thread kuhusu wapinzani wa Lowassa,
 
Last edited by a moderator:
Huu uzi una commment zaidi ya mia 700 wakati ule wa Magufuli ni 80 tu, afu bado mnasema Magufuli atashinda, from where...... Hata asilimia 45 hafikishi
Jua kuwa ni watanzania wachache wanaotumia mitandao ya kielectronic. Muulize Ben Saanane kilichomkuta kwa kujifariji na suport ya hapa JF. Where is my Dr. Slaa?
 
3X6A9378.jpg

July 30 2015 inakuwa siku ya tatu toka utolewe uthibitisho rasmi na Waziri Mkuu wa Zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa kwamba anajitoa CCM na kujiunga CHADEMA…. Tayari kafika Makao Makuu ya Ofisi za CHADEMA, Kinondoni Dar es Salaam na kuchukua Fomu ya Kugombea Urais kupitia Chama hicho. Hizi ni pichaz pamoja na maneno waliyoongea Mbunge Freeman Mbowe, Tundu Lissu pamoja na Edward Lowassa mwenyewe!! Kikosi cha Ulinzi CHADEMA wakiwa nje ya Makao Makuu ya Chama hicho.


Mbunge Mchungaji Peter Msigwa akiongea jambo na mwandishi wa Habari.

Baadhi ya Wanachama wa CHADEMA wakionesha Kadi za Kupigia Kura.



.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

 
Back
Top Bottom