Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,960
- 872
Napingana na Ayubu Ryoba anayesema "Amani haiombewi, ni swala la kisayansi" Mimi nasema Amani inaombewa ni swala la Kiimani na kumcha Mungu!
Acha uwongo.Amani tangu lini ikaombewa kanisani au msikitini?