Je ni upi msimamo wa jk juu ua serikali tatu ,ikiwa ni jambo alilolizungumzia zaidi kwnye hotuba yake .
Kwa mipasho hii ninayoina haeleweki, kwano hajajibu hoja ja warioba kwa fact.
Je ni upi msimamo wa jk juu ua serikali tatu ,ikiwa ni jambo alilolizungumzia zaidi kwnye hotuba yake .
JK Kama mwenyekiti wa chama lazima anawakilisha mawazo ya msimamo ulioko ndani ya chama. Na wana maslahi yao, kwahiyo wanasimama katika maslahi yao.
He never takes responsibility, just passing it to other people, ili likiharibika asilaumiwe, and this is not a good quality in a leader.
Mi ninapo changanyikiwa ni jk kuiongelea zanzibar na haiongelei tanganyika kabisa hii maana yake ni nini?
Anaendelea kama kawaida.
Je ni upi msimamo wa jk juu ua serikali tatu ,ikiwa ni jambo alilolizungumzia zaidi kwnye hotuba yake .