Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

Rais wangu leo umeenda kuwasha moto wa fujo bungeni!!! Kama kuna mbunge mwenye akili timamu, imara, asiye dhaifu na lege lege hatakubali kabisa kuunga mkono uliyosema!!! Ni maneno yako si ya watanzania, ndiyo maana hayakujitokeza katika rasimu ya kwanza wala ya pili!!! Nimechoka!!
 
JK anajichanganya!!!.... Kwa mujibu wa Warioba ni kwamba "kadri unavyopunguza mambo ya muungano ndivyo unafifisha muungano wenyewe!!

Ndiyo concept ya Warioba inakuja huwezi ukawa na nchi mbili ukabaki na nchi serikali mbili!!...
 
...sasa tutakwenda baharini kugombania vitaru vya kuchimba mafuta' kama suala la mafuta na GAS linahodolewa kwenye mambo ya muungano..!
 
Anagusagusa swala la mambo ya kuyashughulikia na kuyatatua ya Muungano ila yote hayo aliyosema cha mtoto. ASEME SASA KWAMBA ZANZIBAR WASIJIITE NCHI, WASHUSHE BENDERA YAO, WAFUTE VITAMBULISHO VYAO....
 
Duh, kwa jinsi anavyoongea huyu jamaa Ni kana kwamba tulikuwa hatuna haja
ya katiba Mpya.
 
Nimegundua ni kwanini CCM walilazimisha Warioba awasilishe rasimu kwanza,walilenga aje kumjibu,kwasababu hatakuwa na fursa ya kuja kujibu.Nimekuwa bored sana.
 
Sasa swala la mafuta na gesi kuwa siyo la muungano,zanzibar kujiunga na mataifa pamoja na taasisi za nje.
 
Back
Top Bottom