Hakika mkuu. Huyu mama amekuwa jasiri sana. Sema ndo hivyo kazidiwa nguvu na Samiha Suluhu
Mpambanaji upo amani kwako mkuu.Upigwaji wa kura ya siri unaendelea
Mpambanaji upo amani kwako mkuu.
Mkuu, kwa bahati mbaya ni kwamba hajatuambia kwa nini aliachika. Labda ni baada ya kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum maana wakati wa semina kuna mbunge mzanzibari alisema kuwa kwa zanzibar ukiwa mbunge basi unahatarisha ndoa yako
Mkuu, umenifurahisha hapo uliposema kuwa upigaji kura ya siri
Hata kiutendaji yuko vema nimepata kufanya naye kazi kwenye maeneo kadha japo hawezi kumfikia sitta.Huyu Samia anaonekana kuwa na uwezo mkubwa wa kujieleza lakini kiutendaji sijui