KERENG'ENDE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 398
- 31
Msando tupe update wanajamvi nini kina endelea hapo NMC.................
niko nmc tunaambiwa msafara umeshaanza kuja maeneo ya nmc na brbr zimeanza kufungwa ilikuruhusu magari yanayo ingiaTupeni update wadau , je miili ya wapendwa wetu , ilishotoka hospitali?
Hospitali na aicc ndo kumeshona, lakini Amani imetawala. Pikipiki nyingi sana magari machache.
mambo bado imebidi tuwafate huko huko hospital ila bado
maiti zinafanyiwa uchunguzi haijulikani iyo kazi itaisha muda gani ila kuna ucheleweshaji kwani mtu anazikwa moshi nadhani wanataka vuruga ratiba
mambo bado imebidi tuwafate huko huko hospital ila bado
maiti zinafanyiwa uchunguzi haijulikani iyo kazi itaisha muda gani ila kuna ucheleweshaji kwani mtu anazikwa moshi nadhani wanataka vuruga ratiba
Mhh watu wa nJi hii bana!!?
RIP our people who died in the incident, Shame on you police and CCM (Makamba and Chitanda)
Jamani wapashaji habari tunafurahi sana kutupasha, asanteni sana na tuko pamoja
Naamini watu watakaojitokeza NMC leo watatuma ujumbe wa kutosha kwa hao washika virungu kuwa Nguvu Ya Umma ni zaidi yao
niko nmc tunaambiwa msafara umeshaanza kuja maeneo ya nmc na brbr zimeanza kufungwa ilikuruhusu magari yanayo ingia
Hii inagusa sana uchungu ni mwingi ila tuwe na imani MUNGU yuko pamoja nasi na roho za mashujaa wetu zitapokelewa mbinguni. Mungu tubariki n tuepushe na wadhalimu naonataka kula nchi yetu