Baba Dorcas
Member
- Jan 15, 2012
- 83
- 5
Jamani ,
Kijana mtanashati na vijicent vyangu vya kudunduliza nikaamua kujitutumua kumtoa valentine wangu
nimpeleke sehemu za haya mahotel ya wawekezaji tupate dina .
Unaweza amini tumezunguka hotel kama tatu kote tunaulizwa kama tulibook na hatukupata nafasi
tukaishia kwenda kula nyama choma sehemu.
Nimejiuliza ni hawa hawa wa TZ waliojaa ktk mahotel haya au ni hawa wawekezaji na familia zao?
Je ndugu yangu wewe umekutana na nini jana?
Mi sjaenda huko! Ila nikuulze minor question tu! Hiv huna kwako mpaka uende huko kwenye nyumba za wagen? Namwonea huruma huyo valentn wako! Pole sn kwa kutokua na kwako.