NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Jamani ,
Kijana mtanashati na vijicent vyangu vya kudunduliza nikaamua kujitutumua kumtoa valentine wangu
nimpeleke sehemu za haya mahotel ya wawekezaji tupate dina .
Unaweza amini tumezunguka hotel kama tatu kote tunaulizwa kama tulibook na hatukupata nafasi
tukaishia kwenda kula nyama choma sehemu.
Nimejiuliza ni hawa hawa wa TZ waliojaa ktk mahotel haya au ni hawa wawekezaji na familia zao?
Je ndugu yangu wewe umekutana na nini jana?
Kijana mtanashati na vijicent vyangu vya kudunduliza nikaamua kujitutumua kumtoa valentine wangu
nimpeleke sehemu za haya mahotel ya wawekezaji tupate dina .
Unaweza amini tumezunguka hotel kama tatu kote tunaulizwa kama tulibook na hatukupata nafasi
tukaishia kwenda kula nyama choma sehemu.
Nimejiuliza ni hawa hawa wa TZ waliojaa ktk mahotel haya au ni hawa wawekezaji na familia zao?
Je ndugu yangu wewe umekutana na nini jana?