Yaani Kuzaana sana kwa Tumbili ndiyo kusababishe Njaa itakayokuja Jimboni Vunjo Mkoani Kilimanjaro?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,014
16,750
Tumeotesha miti mingi, lakini tatizo moja tumekaribisha tumbili na ngedere wakawa wamejaa kule ndio wanawahi kuvuna mahindi yetu kabla hatujavuna, kwa hiyo njaa itakayokuja kule kwetu itatokana na tumbili na ngedere. Wanazaliana hawana mpango wa uzazi, wanazaliana ovyo ovyo wamekuwa wengi sana, unakuwa unapika wakuja waningia ndani wanakula" Mhe.Charles Kimei - Mbunge wa Vunjo.
----------------------------------
Ngoja taratibu nianze kufanya Study Ndogo tu kwanini Professional akiingia tu katika Siasa za Tanzania automatically Uelewa wake na Akili zake zinakuwa hazipishani sana na asiyesoma kabisa au aliyeishia Darasa la Saba.
 
itvtz....Tumeotesha miti mingi, lakini tatizo moja tumekaribisha tumbili na ngedere wakawa wamejaa kule ndio wanawahi kuvuna mahindi yetu kabla hatujavuna, kwa hiyo njaa itakayokuja kule kwetu itatokana na tumbili na ngedere...wanazaliana hawana mpango wa uzazi, wanazaliana hovyo hovyo wamekuwa wengi sana, unakuwa unapika wakuja waningia ndani wanakula" Mhe.Charles Kimei - Mbunge wa Vunjo.
----------------------------------
Ngoja taratibu nianze kufanya Study Ndogo tu kwanini Professional akiingia tu katika Siasa za Tanzania automatically Uelewa wake na Akili zake zinakuwa hazipishani sana na asiyesoma kabisa au aliyeishia Darasa la Saba?
Wewe ndio wa kufanyiwa case study, huwajui tumbiri na ngedere wakiingia shambani wanafanya nini na wakishakuwa wengine juu ya miti mziki wake upoje.
 

Attachments

  • FB_IMG_1673625317353.jpg
    FB_IMG_1673625317353.jpg
    79.5 KB · Views: 3
itvtz....Tumeotesha miti mingi, lakini tatizo moja tumekaribisha tumbili na ngedere wakawa wamejaa kule ndio wanawahi kuvuna mahindi yetu kabla hatujavuna, kwa hiyo njaa itakayokuja kule kwetu itatokana na tumbili na ngedere...wanazaliana hawana mpango wa uzazi, wanazaliana hovyo hovyo wamekuwa wengi sana, unakuwa unapika wakuja waningia ndani wanakula" Mhe.Charles Kimei - Mbunge wa Vunjo.
----------------------------------
Ngoja taratibu nianze kufanya Study Ndogo tu kwanini Professional akiingia tu katika Siasa za Tanzania automatically Uelewa wake na Akili zake zinakuwa hazipishani sana na asiyesoma kabisa au aliyeishia Darasa la Saba?
Sikujua kama huyu nae ni empty set kiasi hiki, aibu naona mimi
 
Kumbe na Tumbili wana mpango wa uzazi ila wanakaidi kama sisi

Kweli ukiingia siasa ongea utumbo wowote utapigiwa makofi

Huyo ilikuwa azomewe ila wenye akili kama zake wamefurahi naona wanawaza waitishe mkutano wa Nyani wote ila wapewe vidonge vya kuzuia mimba
 
Kumbe na Tumbili wana mpango wa uzazi ila wanakaidi kama sisi

Kweli ukiingia siasa ongea utumbo wowote utapigiwa makofi

Huyo ilikuwa azomewe ila wenye akili kama zake wamefurahi naona wanawaza waitishe mkutano wa Nyani wote ila wapewe vidonge vya kuzuia mimba
Mtetezi wake Mkuu wa huo Upuuzi wake yuko hapa JamiiForums Kiongozi.

Cc: Matola
 
Kumbe na Tumbili wana mpango wa uzazi ila wanakaidi kama sisi

Kweli ukiingia siasa ongea utumbo wowote utapigiwa makofi

Huyo ilikuwa azomewe ila wenye akili kama zake wamefurahi naona wanawaza waitishe mkutano wa Nyani wote ila wapewe vidonge vya kuzuia mimba
Magufuli ni Nzilankende, Nzilankende maana yake ni uko wa ngedele.
 
Mtetezi wake Mkuu wa huo Upuuzi wake yuko hapa JamiiForums Kiongozi.

Cc: Matola
Mtu yeyote ambaye ameishi vijijini na kukaa zamu ya kulinda mazao yasiharibiwe na viumbe waharibifu itakuwa amemuelewa vizuri Dr Kimei ameongea nini.

Ila Kwa kizazi cha wachezaji vigodoro ni ngumu kuelewa Dr Kimei ameongea nini.


Nenda kusini huko siasa za huko ili uchaguliwe ni lazima uwaeleze utawasaidia vipi na uharibifu wa mazao wanaofanyiwa na tembo.
 
waafrika tuna kazi sana kuja kuendelea, ina maana hao ngedere wamewazidi akili binadamu??? Msomi kama huyu Dr. Kimei kwenda kulalamika bungeni kwa issue kama hii ndio inaonesha uhalisia ulivyo wa akili za watanzania wengi wasomi walioenda shule lakini hawakuelimika.
NB. Nilitegemea angetoa hoja serikalini ya kuomba bunduki kadhaa ili wawamalize hao ngedere wasije leta janga la njaa na si kulalamika kuhusu uzazi wa mpango wa ngedere. Nalemagha Ghete ghete!!
 
WAFANYE MPANGO WAWAALIKE WAMAKONDE 100 TU,WAKAE HUKO MIEZI KADHAA HAO TUMBILI WATAISHA
 
Tuelezeeni walikaribishwa vipi hao ngadere nyinyi mliofuatilia hiyo speech maana tusije tukashambulia tu mtu hapa kumbe speech ilikuwa kivingine

Kwa jinsi nilivyoelewa hapo ni kama vile Dr. amemaanisha hao ngadere kujazana ni uzembe wa mtu(mamlaka) fulani. Kama ni hicho nilichowaza basi Wala si ajabu maana hii imewasibu watu wengi sana kwa mfano wa hilo.

Angalia kule tembo wanavyoshambulia watu mara kwa mara lakini wakiguswa tu tayari watu wananing'inizwa kwenye cruiser za magereza kila siku to mahakama from rumande

Kwa swala la ngedere na nyani nao watu siyo kwamba wameshindwa au wanashindwa kuwadhibiti bali huenda ikawa ni hivyohivyo mtu anahofia leo akasema afanye "operation tokomeza ngedere kima na nyani" basi atajikuta hivi:-

-Ana kesi ya kujibu TANAPA
-Anawajibika kwa TFS
-MASHIRIKA YA KUTETEA WANYAMA yamemshitaki
-MALIASILI wanamburuza mahakamani
-WATETEZI WA HAKI ZA VIUMBE wamemkalia kooni
-NEMC wamemshika mikono kisawasawa asifurukute
-WATU WA DINI nao wamemshikia bango kubwa la kumlaani kwamba kafanya dhambi kubwa sana kuliko wengine
-Baadhi ya JAMII inamlaani kwanini anamaliza kitoweo chao
-AMREF na mashirika mengine wamemkamata miguu barabara asiweze kuchomoka
 
Tumeotesha miti mingi, lakini tatizo moja tumekaribisha tumbili na ngedere wakawa wamejaa kule ndio wanawahi kuvuna mahindi yetu kabla hatujavuna, kwa hiyo njaa itakayokuja kule kwetu itatokana na tumbili na ngedere. Wanazaliana hawana mpango wa uzazi, wanazaliana ovyo ovyo wamekuwa wengi sana, unakuwa unapika wakuja waningia ndani wanakula" Mhe.Charles Kimei - Mbunge wa Vunjo.
----------------------------------
Ngoja taratibu nianze kufanya Study Ndogo tu kwanini Professional akiingia tu katika Siasa za Tanzania automatically Uelewa wake na Akili zake zinakuwa hazipishani sana na asiyesoma kabisa au aliyeishia Darasa la Saba.
Ni kweli ngedere wana replace watu kule Kilimanjaro taratibu. Kuna kitu inabidi kifanyike haraka la sivyo……:%}*]~><?!
 
Back
Top Bottom