Sifa zinawaponza.
Kweli haiingii akilini kwamba umoja wao hauna maana, kama wameshindwa hata kutoa mchango wao kama chama badala yake wachache wamejitokeza kivyao vyao, hii inadhihirisha kwamba hawa jamaa hawapendani wao kwa wao, kwani wanasumbuliwa na jinamizi la wivu ingeleta maana kama wangejichangisha kama chama haijalishi huyu katoa hela nyingi au katoa kidogo maana nafahamu kuwa hata wao wanazidiaana uwezo wa kifedha, inabidi wakae chini na kutafakari kwani kwasasa umoja wao haunatija kama wanashindwa hata kusaidiana katika matatizo.
Sifa zinawaponza.