Ya CHADEMA, Lowassa, Dr. Mashinji na mgomo wa madaktari mwaka 2012

Kinara wa mgomo wa madaktari....
mgomo uliosababisha vifo vya mamia ya wananchi azawadiwa cheo....

??????
Tunakuwa wagumu kuelewa hata majipu yanayo tumbuliwa ndiyo yale madaktari walikuwa wanayafania mgomo.Mfano ni ubovu wa Mashine ya TC Scan na uboreshaji wa huduma za Mahospitalini.Sasa kosa lao ni nini?.Watu makini hujadili inshu na wasiomakini hujadili watu kama wewe.
 
="Ozzanne Issakwisa, post: 15555929, member: 356366"]Pro Magufuli Wa 47 tusiwe na tabia ya kujifanya sisi ni wana CCM zaidi ya wengine.
Kushiriki kwenye migomo hakukutokea kwa Dr. Mashinji tu. Wako watu wengi walioshiriki. Mfano Dr. Kigwangwallah alishiriki katika migomo kadhaa huko nyuma na sasa ni waziri. Sasa sijui utamwita vipi leo.
Ndugu zangu wana CCM, kama kweli twaipenda nchi yetu, basi upinzani bora una maslahi zaidi kwa taifa katika check and balance. Au baadhi tunasahau kwamba ni CCM hiihii iliruhusu kuingia katika siasa za vyama vingi, ijapo wananchi wengi walikuwa wakiviogopa. Basi turudi kwenye siasa za chama kimoja ili wasiojua uzuri wa upinzani wafurahi. Kusiwepo mtu wa kupiga kelele.
BTW watu wengi wanaoshiriki kwenye migomo wako strong zaidi.[/QUOTE]

Hakuna mwana CCM anachukia upinzani, ukizingatia upinzani kwa sasa si tishio na upinzania wa kweli ushakufa kifo cha mende mapeema Dr Magufuli alivyoingia na CHADEMA kuanza chukua makapi na mabaki ya CCM.
Sahivi ili nchi isonge mbele ni kushirikiana na Serikali ya Dr Magufuli na si kukodi Ma-expert wa ku-organise Migomo au maandamano kwenye chama chao kilichojaa Mafisadi kuja sumbua wananchi na shughuli za maendeleo.
 
="Ozzanne Issakwisa, post: 15555929, member: 356366"]Pro Magufuli Wa 47 tusiwe na tabia ya kujifanya sisi ni wana CCM zaidi ya wengine.
Kushiriki kwenye migomo hakukutokea kwa Dr. Mashinji tu. Wako watu wengi walioshiriki. Mfano Dr. Kigwangwallah alishiriki katika migomo kadhaa huko nyuma na sasa ni waziri. Sasa sijui utamwita vipi leo.
Ndugu zangu wana CCM, kama kweli twaipenda nchi yetu, basi upinzani bora una maslahi zaidi kwa taifa katika check and balance. Au baadhi tunasahau kwamba ni CCM hiihii iliruhusu kuingia katika siasa za vyama vingi, ijapo wananchi wengi walikuwa wakiviogopa. Basi turudi kwenye siasa za chama kimoja ili wasiojua uzuri wa upinzani wafurahi. Kusiwepo mtu wa kupiga kelele.
BTW watu wengi wanaoshiriki kwenye migomo wako strong zaidi.

Hakuna mwana CCM anachukia upinzani, ukizingatia upinzani kwa sasa si tishio na upinzania wa kweli ushakufa kifo cha mende mapeema Dr Magufuli alivyoingia na CHADEMA kuanza chukua makapi na mabaki ya CCM.
Sahivi ili nchi isonge mbele ni kushirikiana na Serikali ya Dr Magufuli na si kukodi Ma-expert wa ku-organise Migomo au maandamano kwenye chama chao kilichojaa Mafisadi kuja sumbua wananchi na shughuli za maendeleo.[/QUOTE]
Mgomo gani Kigwangala alishiriki au unataka kubalance mambo?
 
Usiwakumbushe watu ya Ulimboka kijana,
baada ya ulimboka kusababisha vifo vya wagonjwa kwa mamia,kisa chake hakikunihudhunisha hata kidogo.

Mtu anaehatarisha usalama wa nchi kama nchi zingine mfano USA ,They just take you out,
 
Kama hujui basi naibu waziri wako wa afya nae 2001 aliongoza mgomo wa Madaktari, tena ni mwanaCCM mwenzako! so hilo suala la mgomo ona aibu kulizungumzia hapa poyoyo wewe. Ukiwa mjinga uwe na kumbukumbu.
Bora umemkumbusha maana wanasahau mapema
 
Mwaka 2012 Watanzania tulishuhudia mgomo mkubwa wa Madaktar kushinikiza Serikali iwalipe mishahara mikubwa na kuwaonyesha Watanzania nguvu kubwa waliyonayo dhidi ya Serikali.

Mgomo huo uliendeshwa kikatili sana na kuleta usumbufu, Mateso yasiyoelezeka na vifo vingi kwa Watanzania wenzetu hasa kina Mama na Watoto.
Serikali wakati huo kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama walikuwa wakihusisha Mgomo huo na Siasa hasa CHADEMA na baadhi ya Makada wa CCM, lakini wengi wetu tuliona kama mbinu ya Serikali kujitetea tu kwa kusingizia CHADEMA na kuukimbia ukweli.

KWA UTEUZI HUU WA Dr MASHINJI, SASA NI WAZI KUWA CHADEMA/Team Lowassa WALIKUWA NYUMA NA CHANZO cha MGOMO WA MADAKTARI.

Madaktali walitumika pasipo kujijua kwa kuingizwa kwenye Mgomo ambao uliowashushia hadhi yao kwa jamii na viongozi wao wachache ambao ni Makada wa CHADEMA na vibaraka wa kundi la walafi wa madaraka ndani ya CCM.

Hongera Dr MASHINJI, pia pole kwa kujivua Mask na kutuonyesha wazi wewe ni nani haswaa!
Nakupa pole zaidi kwa kujiingiza katika siasa kwenye chama cha walioshindwa, vigeugeu, Ma-fisadi.

Siku zote ukumbuke kuwa ujachaguliwa kwa CV yako, ila kwa record yako mbaya ya kuendesha Migomo hivyo jiandae, Pili unatumika tu hawanaga shukrani hao.
hivi mbona amuishiwi ya kuongea? kila lifanyikalo cdm nyie linawauma kulikoni au ndio kusema cdm inawanyima usingizi?
 
Muuaji amekuwa akilindwa na kuhifadhiwa na Chadema! Bila shaka mwenyekiti ajae Chadema lazima ni yule anaye endelea kuchoma nyumba za watu huko Pemba!
 
Mwaka 2012 Watanzania tulishuhudia mgomo mkubwa wa Madaktar kushinikiza Serikali iwalipe mishahara mikubwa na kuwaonyesha Watanzania nguvu kubwa waliyonayo dhidi ya Serikali.

Mgomo huo uliendeshwa kikatili sana na kuleta usumbufu, Mateso yasiyoelezeka na vifo vingi kwa Watanzania wenzetu hasa kina Mama na Watoto.
Serikali wakati huo kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama walikuwa wakihusisha Mgomo huo na Siasa hasa CHADEMA na baadhi ya Makada wa CCM, lakini wengi wetu tuliona kama mbinu ya Serikali kujitetea tu kwa kusingizia CHADEMA na kuukimbia ukweli.

KWA UTEUZI HUU WA Dr MASHINJI, SASA NI WAZI KUWA CHADEMA/Team Lowassa WALIKUWA NYUMA NA CHANZO cha MGOMO WA MADAKTARI.

Madaktali walitumika pasipo kujijua kwa kuingizwa kwenye Mgomo ambao uliowashushia hadhi yao kwa jamii na viongozi wao wachache ambao ni Makada wa CHADEMA na vibaraka wa kundi la walafi wa madaraka ndani ya CCM.

Hongera Dr MASHINJI, pia pole kwa kujivua Mask na kutuonyesha wazi wewe ni nani haswaa!
Nakupa pole zaidi kwa kujiingiza katika siasa kwenye chama cha walioshindwa, vigeugeu, Ma-fisadi.

Siku zote ukumbuke kuwa ujachaguliwa kwa CV yako, ila kwa record yako mbaya ya kuendesha Migomo hivyo jiandae, Pili unatumika tu hawanaga shukrani hao.
Well said mkuu, ila kwa wale wasiopenda UKWELI watakuwa wakali kama shubili humu JF.
Huo ndio UKWELI halisi na hapa Mbowe anataka kutufumba macho na dhambi yake ya ukabila. Hamna chochote hapo hilo ni janga la uteuzi ambao unaenda kuwa remoted na chagadema Ili asiulize matumizi Tata ya ruzuku, akileta fyoko tu na yeye ataambiwa out
 
mtu mzima unaamka asbhi unamuacha mkeo kitandani unachukua simu unakuja kuandika pumba kama hizi aiseee.
 
Mimi nachojua ni kwamba Dr Ulimboka na ZMkopi ndio waliokuwa viongozi wa mgomo. Sikuwahi kumsikia huyu Dr Mashinji hii ni mara yangu ya kwanza! Hebu tueleze aliongoza mgomo katika capacity gani? Kwa nini hakupata misukosuko km walivyoipata kina ulimboka na mkopi?
Ila nimefurahi kusikia huyu Dr ni mwanaharakati na alishashiriki migomo. Big up sana. Hatutaki katibu mkuu mwoga na legelege. Nimefurahi sana kwa hili. Hilo kwangu ni sifa!
 
Sitaki kusema lolote juu ya DR. MASHINJI maana Ni mapema Sana ILA ninachoweza Ni kumpa hongera kwa kuwa mwenyekiti mpya
 
Mwaka 2012 Watanzania tulishuhudia mgomo mkubwa wa Madaktar kushinikiza Serikali iwalipe mishahara mikubwa na kuwaonyesha Watanzania nguvu kubwa waliyonayo dhidi ya Serikali.

Mgomo huo uliendeshwa kikatili sana na kuleta usumbufu, Mateso yasiyoelezeka na vifo vingi kwa Watanzania wenzetu hasa kina Mama na Watoto.
Serikali wakati huo kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama walikuwa wakihusisha Mgomo huo na Siasa hasa CHADEMA na baadhi ya Makada wa CCM, lakini wengi wetu tuliona kama mbinu ya Serikali kujitetea tu kwa kusingizia CHADEMA na kuukimbia ukweli.

KWA UTEUZI HUU WA Dr MASHINJI, SASA NI WAZI KUWA CHADEMA/Team Lowassa WALIKUWA NYUMA NA CHANZO cha MGOMO WA MADAKTARI.

Madaktali walitumika pasipo kujijua kwa kuingizwa kwenye Mgomo ambao uliowashushia hadhi yao kwa jamii na viongozi wao wachache ambao ni Makada wa CHADEMA na vibaraka wa kundi la walafi wa madaraka ndani ya CCM.

Hongera Dr MASHINJI, pia pole kwa kujivua Mask na kutuonyesha wazi wewe ni nani haswaa!
Nakupa pole zaidi kwa kujiingiza katika siasa kwenye chama cha walioshindwa, vigeugeu, Ma-fisadi.

Siku zote ukumbuke kuwa ujachaguliwa kwa CV yako, ila kwa record yako mbaya ya kuendesha Migomo hivyo jiandae, Pili unatumika tu hawanaga shukrani hao.
Hujui unachokisema ww mbwiga juz dar kafa mtu kwakukosa maji ya kumtundikia hapo ni dar huko vijijin hali unaijua kimsing madaktari waligoma kutaka kuboreshewa mazingira yao ya kaz ikiwemo dawa na vifaa tiba ila serikal ikaamua kuwaukumu kwa wananchi kwa wanataka mshahara 7M watu wangap wamekufa MNH kwa kukosa huduma muhim kama CT scan Na MRI
 
Mwaka 2012 Watanzania tulishuhudia mgomo mkubwa wa Madaktar kushinikiza Serikali iwalipe mishahara mikubwa na kuwaonyesha Watanzania nguvu kubwa waliyonayo dhidi ya Serikali.

Mgomo huo uliendeshwa kikatili sana na kuleta usumbufu, Mateso yasiyoelezeka na vifo vingi kwa Watanzania wenzetu hasa kina Mama na Watoto.
Serikali wakati huo kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama walikuwa wakihusisha Mgomo huo na Siasa hasa CHADEMA na baadhi ya Makada wa CCM, lakini wengi wetu tuliona kama mbinu ya Serikali kujitetea tu kwa kusingizia CHADEMA na kuukimbia ukweli.

KWA UTEUZI HUU WA Dr MASHINJI, SASA NI WAZI KUWA CHADEMA/Team Lowassa WALIKUWA NYUMA NA CHANZO cha MGOMO WA MADAKTARI.

Madaktali walitumika pasipo kujijua kwa kuingizwa kwenye Mgomo ambao uliowashushia hadhi yao kwa jamii na viongozi wao wachache ambao ni Makada wa CHADEMA na vibaraka wa kundi la walafi wa madaraka ndani ya CCM.

Hongera Dr MASHINJI, pia pole kwa kujivua Mask na kutuonyesha wazi wewe ni nani haswaa!
Nakupa pole zaidi kwa kujiingiza katika siasa kwenye chama cha walioshindwa, vigeugeu, Ma-fisadi.

Siku zote ukumbuke kuwa ujachaguliwa kwa CV yako, ila kwa record yako mbaya ya kuendesha Migomo hivyo jiandae, Pili unatumika tu hawanaga shukrani hao.
Mkuu mbona km unaivua nguo serikali yako na vyombo vyake???
Yan km serikali yenye jeshi la polisi,usalama wa taifa na vyombo vingine vya ulinzi linaweza kuvurugwa kiasi kile na chama pinzani bila kuwa taarifa za kiintelijensia km linavosemaga,bas haistahili kuendelea kutawala tn.
 
Kama hujui basi naibu waziri wako wa afya nae 2001 aliongoza mgomo wa Madaktari, tena ni mwanaCCM mwenzako! so hilo suala la mgomo ona aibu kulizungumzia hapa poyoyo wewe. Ukiwa mjinga uwe na kumbukumbu.
Hapo umenena
 
Ni vyema MOD wakaufuta kabisa huu uzi, mleta mada ameandika uongo, ujinga na uzushi mtupu.

Kwa kumsaidia tu, ni kwamba toka mwaka 2010 mpaka sasa kabla ya kuteuliwa na kupitishwa kuwa katibu mkuu wa CHADEMA, Dr.Vicent Mashinji amekuwa akifanya kazi katika taasisi binafsi za kimataifa zikihusiana na Utafiti na Elimu katika sekta ya Afya, hakuwa akifanya kazi za kutibu watu moja kwa moja na wala hakuwa mstari wa mbele katika ushiriki wa siasa za vyama moja kwa moja.
 
Katibu wa Chadema wa sasa, mwaka 2012 alikuwa anasoma Open University wakati huo akiwa mshauri wa shirika la afya la kimataifa. Hii ni kwa mujibu wa CV yoke. Hivyo Hakuna namna ya kumuhusisha na mgomo wa Madaktari.
 
Back
Top Bottom