Wizi kwenye magari sasa unashika kasi

Wizi wa magari unasababishwa na mambo mengi sana.
  1. Kufunga Immobiliser kwa kutumia mafundi wa vijiweni ambao unawapatia access ya kulijua gari lako A to Z kwa kuwapatia Tshs 100,000 au chini ya hapo: Hawa ni rahisi kuwapatia professional thieves code za immobiliser yako na kulifungua gari kama lao vile
  2. Kupendelea kupeleka magari Carwash na kuwaachia ufunguo wakiendelea na kazi huku wewe ukisogea bar ya karibu kujipatia moja moto moja baridi: Hawa hutumia Bar soaps kupata alama za funguo yako na hivyo kwenda kuchonga zao, kila unaporudi kuwataka wakuoshee wanajaribisha kama funguo yao inafanya kazi na kuchua details za kurekebisha tena na tena mpaka pale wanapoweza kuzitumia kwenye gari lako, inafuata stage ya pili ya kuku-trace miendenendo yako
  3. Kuepeleka gari service kwenye vituo visivyo na credibility mafundi wake wanafanya kazi kwa kulipwa mshahara wa Tshs 50,000 kwa mwezi
  4. Kujiaminin sana kupita kiasi baada ya kufunga immobiliser ya mtaani, na hivyo kurelax sehemu yoyote unayo park gari

Vitu vya kufanya:
  1. Never trust a car washer hata kama wewe ni bosi ni mara kumi ukae nao man to man hata kama watakumwagia maji makusudi uondoke, vinginevyo jiwekee routine ya kuosha mwenyewe gari lako nyumbani kila week end
  2. Never leave any valuables in a car which can be a thief magnet. Kumbuka hata ukiacha mfuko wa maganda ya embe uliyokula mwizi atajaribu kuvunja kioo na akikuta maganda ya embe atajaribu kuchukua kitakachochukulika hata kama ikibidi gari lote ataondoka nalo. Usiache kitu chochote juu ya seat
  3. Jaribu kutembea na mtu ambaye muda wote atabakia ndani ya gari bila kuwa na funguo kama unaenda sehemu za shopping as Mlimani City. Kumbuka kuwa hata hawa wizi huja na magari wakijifanya ni wateja na kubakia ndani wakiwinda kama eagle akiangalia vifaranga.
  4. Usimuazime gari mtu yeyote yule hata kama ni best friend ambaye hayupo kwenye list ya Insurer as a driver. Don't trust any third party hata kama unakaa nae nyumba moja. Gari ni sawa na nguo yako ya ndani ukimuazima mtu atajua wapi pana tundu na wapi pamechakaa. Never ever do that. Ni bora akuone mbaya kuliko kumuacha akafanye mambo ambayo wewe huwa hufanyi na baadae kujikuta unapoteza mali uliyoitafuta kwa jasho kubwa.

Kumbuka kuwa Tanzania is a lawless country. Lawless si kwa sababu hakuna sheria la ila ni kwa sababu wanaotakiwa kusimamia sheria wanashirikiana na wavunja sheria. Take all precautions kabla ya kukimbilia kwa polisi walio kwenye payroll ya professional thieves. Ikibidi fuata taratibu za kumiliki silaha ya moto ili kulinda mali zako. Polisi wapo kulinda watawala na familia zao ila kapuko usiyekuwa na lolote you are on your own. Wezi hawa wanajulikana ila wanaachiwa kwa sababu wanatakiwa kukata cha juu. Ukiona polisi wanakuuliza thamani ya mali iliyoibiwa wakati wa kutoa maelezo ujue wana assess probable selling price na kuifikisha kwa wahusika. Kama mtandao huu wa wizi ungekuwa ni mtandao wa kihaini ungeisha sambaratishwa siku nyingi. Vyombo vya ulinzi na usalama vina uwezo huo na vina intelligensia yote kuhusu hawa watu. Hawapo for probo. Wapo kisiasa na kimasilahi zaidi!!!.

Kuna jamaa yangu ni njagu, huwa ananiambia wazi kuwa wakati walipokuwa wana passout CCP Moshi, once upon a time, mgeni rasmi alikuwa PM Sumaye those days, aliyekuwa IGP Omari Mahita wakati akiwahutubia kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi, aliwaamrisha mafundi mitambo wazime vipaza sauti kwa muda wakafanya hivyo na kuwapatia kauli hii.

"Ukikutana na mtu anakupatia hela chukua usiziache, toa umauzi wako, ila kama utaona hujaridhika na hela hizo angalia asikwambie twende huku nikakuongezee, akikupatia za moto sisi tutakukana hatukujui"

Ukiangalia kauli kama hizi ni dhahiri polisi wapo kimasilahi zaidi. TAFAKARI!
 
Wizi wa magari unasababishwa na mambo mengi sana.
  1. Kufunga Immobiliser kwa kutumia mafundi wa vijiweni ambao unawapatia access ya kulijua gari lako A to Z kwa kuwapatia Tshs 100,000 au chini ya hapo: Hawa ni rahisi kuwapatia professional thiefs code za immobiliser yako na kulifungua gari kama lao vile
  2. Kupendelea kupeleka magari Carwash na kuwaachia ufunguo wakiendelea na kazi huku wewe ukisogea bar ya karibu kujipatia moja moto moja baridi: Hawa hutumia Bar soaps kupata alama za funguo yako na hivyo kwenda kuchonga zao, kila unaporudi kuwataka wakuoshee wanajaribisha kama funguo yao inafanya kazi na kuchua details za kurekebisha tena na tena mpaka pale wanapoweza kuzitumia kwenye gari lako, inafuata stage ya pili ya kuku-trace miendenendo yako
  3. Kuepeleka gari service kwenye vituo visivyo na credibility mafundi wake wanafanya kazi kwa kulipwa mshahara wa Tshs 50,000 kwa mwezi
  4. Kujiaminin sana kupita kiasi baada ya kufunga immobiliser ya mtaani, na hivyo kurelax sehemu yoyote unayo park gari

Vitu vya kufanya:
  1. Never trust a car washer hata kama wewe ni bosi ni mara kumi ukae nao man to man hata kama watakumwagia maji makusudi uondoke, vinginevyo jiwekee routine ya kuosha mwenyewe gari lako nyumbani kila week end
  2. Never leave any valuables in a car which can be a thief magnet. Kumbuka hata ukiacha mfuko wa maganda ya embe uliyokula mwizi atajaribu kuvunja kioo na akikuta maganda ya embe atajaribu kuchukua kitakachochukulika hata kama ikibidi gari lote ataondoka nalo. Usiache kitu chochote juu ya seat
  3. Jaribu kutembea na mtu ambaye muda wote atabakia ndani ya gari bila kuwa na funguo kama unaenda sehemu za shopping as Mlimani City. Kumbuka kuwa hata hawa wizi huja na magari wakijifanya ni wateja na kubakia ndani wakiwinda kama eagle akiangalia vifaranga.
  4. Usimuazime gari mtu yeyote yule hata kama ni best friend ambaye hayupo kwenye list ya Insurer as a driver. Don't trust any third party hata kama unakaa nae nyumba moja. Gari ni sawa na nguo yako ya ndani ukimuazima mtu atajua wapi pana tundu na wapi pamechakaa. Never ever do that. Ni bora akuone mbaya kuliko kumuacha akafanye mambo ambayo wewe huwa hufanyi na baadae kujikuta unapoteza mali uliyoitafuta kwa jasho kubwa.

Kumbuka kuwa Tanzania is a lawless country. Lawless si kwa sababu hakuna sheria la ila ni kwa sababu wanaotakiwa kusimamia sheria wanashirikiana na wavunja sheria. Take all precautions kabla ya kukimbilia kwa polisi walio kwenye payroll ya professional thiefs. Ikibidi fuata taratibu za kumiliki silaha ya moto ili kulinda mali zako. Polisi wapo kulinda watawala na familia zao ili kapuko usiyekuwa na lolote you are on your own. Wezi hawa wanajulikana ila wanaachiwa kwa sababu wanatakiwa kukata cha juu. Ukiona polisi wanakuuliza thamani ya mali iliyoibiwa wakati wa kutoa maelezo ujue wana assess probable selling price na kuifikisha kwa wahusika. Kama mtandao huu wa wizi ungekuwa ni mtandao wa kihaini ungeisha sambaratishwa siku nyingi. Vyombo vya ulinzi na usalama vina uwezo huo na vina intelligensia yote kuhusu hawa watu. Hawapo for probo. Wapo kisiasa na kimasilahi zaidi!!!.

Kuna jamaa yangu ni njagu, huwa ananiambia wazi kuwa wakati walipokuwa wana passout CCP Moshi, once upon a time, mgeni rasmi alikuwa PM Sumaye those days, aliyekuwa IGP Omari Mahita wakati akiwahutubia kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi, aliwaamrisha mafundi mitambo wazime vipaza sauti kwa muda wakafanya hivyo na kuwapatia kauli hii.

"Ukikutana na mtu anakupatia hela chukua usiziache, toa umauzi wako, ila kama utaona hujaridhika na hela hizo angalia asikwambie twende huku nikakuongezee, akikupatia za moto sisi tutakukana hatukujui"

Ukiangalia kauli kama hizi ni dhahiri polisi wapo kimasilahi zaidi. TAFAKARI!

...duuuuuuuuuuhhhhhhh!!!! Ngunguri noooooouma!
 
Isurance ya maana na Car Track ndicho cha muhimu. Mimi walishaniliza sana, but sasa hiv nimejizatiti vilivyo.

mkuu usije jidanganya na hizo takataka za sijui car tracking,security alarm n.k kwanza ni hatari sana kufunga/rock gari kwa kutumia remot weng wenu huwa wanaamin kuwa huo ni ulinzi tosha hata kama utafunga alarm ya mjeruman au italy hakika kwa mwizi wa gari ni kitu easy sana.
Kuna kitu huwa wanafanya na wanakitumia sitokitaja hapa pale unapo funga/lock gari yako kwa kutumia remote basi hapo hapo ndipo unapo wakabidh gari yako.

Kumbuka wanao iba magari ni mafundi na niwataalam wa hizo taka taka zoote mnazo zani ni ulinzi tosha.

Pendeni kulock magari yenu manual kwa kubonyeza lock za milango kwa kila mlango.

Teh teh teh teh teh teh teh teh teh ujue nyie wenyemagari huwa mnanichekesha sana gari zenu zikiharibika huwa mnakimbilia xxxxxx kwenda kununua spea used tena kwa bei chee bila kujiuliza zinatoka wapii.
Ngoja ntakuja niwatajie machimbo maarufu ya kuchinjia magari hapa bongo pindi yanapoibiwa.

Ukiibiwa gari sasa hivi hapa bongo hata kama ni JIPYA yakipita masaa kazaa kuipata sahau milele kwani waungwana huikatakata spea huwekwa dukani na body cuting ya mbele huuzwa body lililobakia huuzwa screpa.
 
mkuu usije jidanganya na hizo takataka za sijui car tracking,security alarm n.k kwanza ni hatari sana kufunga/rock gari kwa kutumia remot weng wenu huwa wanaamin kuwa huo ni ulinzi tosha hata kama utafunga alarm ya mjeruman au italy hakika kwa mwizi wa gari ni kitu easy sana.
Kuna kitu huwa wanafanya na wanakitumia sitokitaja hapa pale unapo funga/lock gari yako kwa kutumia remote basi hapo hapo ndipo unapo wakabidh gari yako.

Kumbuka wanao iba magari ni mafundi na niwataalam wa hizo taka taka zoote mnazo zani ni ulinzi tosha.

Pendeni kulock magari yenu manual kwa kubonyeza lock za milango kwa kila mlango.

Teh teh teh teh teh teh teh teh teh ujue nyie wenyemagari huwa mnanichekesha sana gari zenu zikiharibika huwa mnakimbilia xxxxxx kwenda kununua spea used tena kwa bei chee bila kujiuliza zinatoka wapii.
Ngoja ntakuja niwatajie machimbo maarufu ya kuchinjia magari hapa bongo pindi yanapoibiwa.

Ukiibiwa gari sasa hivi hapa bongo hata kama ni JIPYA yakipita masaa kazaa kuipata sahau milele kwani waungwana huikatakata spea huwekwa dukani na body cuting ya mbele huuzwa body lililobakia huuzwa screpa.

usitutamanishe mwaga habari kamili weka wazi watu wapate kufahamu mkuu
 
"...SASA KUKUPA UWE NA AMANI UKINUNUA HAYO MAGARI WALA USIUMIZE KICHWA PAKI NYUMBAN NENDA NA BASI KITUO KINAITWA MLIMANI CITY UKISHUKA KUSHOTO KUNA JAMAA WANAVUSHA UPANDE WA PILI KWA SH 300 KAMA UKO NA FAMILIA INASAIDIA ELSE
SIKILIZA WIMBO WA KWETU NI PAZURI WA DADA ZETU WA SABATO KIGALI
Kama mambo yenyewe ndio hayo basi bora hata usinunue hilo gari!!
 
usitutamanishe mwaga habari kamili weka wazi watu wapate kufahamu mkuu

mkuu ujue nikimwaga mambo hapa nihatari sana ntakuwa nimefungua mlango wa wengi kuingia kwenye wizi wa magari.

DODOSO

1-mim nifund umeme wa magari so nishawahi pata kesi kwa ajiri ya ku unlock gari ya mzee 1 ambaye mwanae alinipakaz hiyo haichukui hata dk 5.

Ila kwa hawa wezi wa magari kunakifaa wanatumia wanachofanya ni kukiweka mita chache na unapopaki gari yako au mtu anakuwa nacho karibu na gari yako utakapo funga gari tu kwa kutumia remot yako chenyewe kinanasa zile code na kuzi record na pind utakapo ondoka nyuma yeye ana unlock na kiulain anatoweka na gari yako kwa style hiyo hata uwe na car alarm ya kutoka mbingun lzm uibiwe tu.

2-kuna wanaotumia remot universal (malaya) ku unlock hii huwa inafanction sana kwa hiz car alarm za kichina za bei chee.

Kuna njia nyingine za kawaida tu watumiazo wezi wa power window,engine control,radio n.k
 
Maeneo ya UDSM, Mwenge, mlimani city si salama kabisa. karibu kila siku watu wanalizwa, kama sio kuibiwa kitu ndani ya gari basi wanaiba kifaa cha gari. haijapita wiki jamaa yangu kaibiwa Laptop akiwa amepaki gari pale hospital ya masister.

maeneo ya chuo kila siku walimu wanalia wizi kwenye magari na hata kuvamiwa majumbani.

Sasa hivi sasa wanaiba gari kabisa. Juzi wamechukua Escudo pale engineering parking za block A. yani pale mbele kabisa, kuonyesha kwamba wanajiamini kiasi gani.

Matukio yanazidi, yanajirudia kila siku. hawa askari zetu hawaonekani kama kweli wanawashughulikia vizuri hawa watu, watu wengi wanalalamika kwamba kuna dalili nyingi wanashirikiana nao.

Tuweni makini tunapokuwa na magari yetu maeneo hayo.

Dawa ni kuwawekea mtego na ukinasa mnaua mmoja kabisa, nadhani hilo litakuwa onyo kwa wengine.
 
Mimi nafikiri hata hawa polisi watakuwa wanahusika. tuliibiwa gari pale udsm tukaja kuipata sinza tena kwa kutoa hela. kidogo ipelekwe mkoa. ukienda kutoa taarifa polisi utazungushwa hadi uchoke. mara utasikia leta hela ya mafuta mara hii kazi ni nzito. but kuna watu fulani wanao fahamika pale sinza. kwahiyo gari yako ikiibiwa maeneo hayo unaelewana nao hela.wanaitafuta halafu wanakuelekeza uende kuichukua sehemu fulani labda stand au bar, na gari unaikuta. kwanini polisi wasidili na hao watu?. Mia

Kaka hebu nisaidie zaidi jinsi mlivyofanya mpaka mkapata hiyo gari. mana jamaa yangu mkewe ndio ameibiwa escudo hapo hapo UDSM jumamosi hii iliyopita. tumsaidie namna ya kuipata. maana ameshakata tamaa kabisa na hao polisi.
 
Kaka hebu nisaidie zaidi jinsi mlivyofanya mpaka mkapata hiyo gari. mana jamaa yangu mkewe ndio ameibiwa escudo hapo hapo UDSM jumamosi hii iliyopita. tumsaidie namna ya kuipata. maana ameshakata tamaa kabisa na hao polisi.

pole sana mkuu kama ni week iliyopita kitambo sana washaichinjilia mbali atakutana na spea tu body washa liscreper kitambo
 
Ha! Ha! Ha! Ha!

Ndio maana yake Kaka mkubwa,
Baada ya kusimama lisaa lizima kituoni,
Unagombana na abiria wenzako kupitia dirishani,
hapo HTc au iPhone iko mashakani kuibiwa,
na ukifika kituoni kuna kutembea kilometa 2 ndio ufike nyumbani
na ukifika home una harufu ya kila mtu wakati umepaki mkoko wako ndani mzima tu,
Kisa, UTAIBIWA!!!!!
Never mkuu, wacha waibe tu!!
 
pole sana mkuu kama ni week iliyopita kitambo sana washaichinjilia mbali atakutana na spea tu body washa liscreper kitambo

Sawa, we si umesema unafahamu machinjio yao yalipo, msaidie jamaa.
Anaweza akaambulia hata damu!!!
 
mkuu usije jidanganya na hizo takataka za sijui car tracking,security alarm n.k kwanza ni hatari sana kufunga/rock gari kwa kutumia remot weng wenu huwa wanaamin kuwa huo ni ulinzi tosha hata kama utafunga alarm ya mjeruman au italy hakika kwa mwizi wa gari ni kitu easy sana.
Kuna kitu huwa wanafanya na wanakitumia sitokitaja hapa pale unapo funga/lock gari yako kwa kutumia remote basi hapo hapo ndipo unapo wakabidh gari yako.

Kumbuka wanao iba magari ni mafundi na niwataalam wa hizo taka taka zoote mnazo zani ni ulinzi tosha.

Pendeni kulock magari yenu manual kwa kubonyeza lock za milango kwa kila mlango.

Teh teh teh teh teh teh teh teh teh ujue nyie wenyemagari huwa mnanichekesha sana gari zenu zikiharibika huwa mnakimbilia xxxxxx kwenda kununua spea used tena kwa bei chee bila kujiuliza zinatoka wapii.
Ngoja ntakuja niwatajie machimbo maarufu ya kuchinjia magari hapa bongo pindi yanapoibiwa.

Ukiibiwa gari sasa hivi hapa bongo hata kama ni JIPYA yakipita masaa kazaa kuipata sahau milele kwani waungwana huikatakata spea huwekwa dukani na body cuting ya mbele huuzwa body lililobakia huuzwa screpa.

Heee umenitisha sana LEGE haaaaaaaaaaaah!!!!
 
Isurance ya maana na Car Track ndicho cha muhimu. Mimi walishaniliza sana, but sasa hiv nimejizatiti vilivyo.
Acha uongo wako wewe ndio kamanda wa hao vijana, nimekuwa nikisoma post zako nashawishika kuamini kwamba wewe ndiye unayeweza kupanga na kuratibu uhalifu huo maana siyo kazi rahisi kuwaliza magreat thinker wa UD bila kuwepo mchango wako wa mawazo na uratibu pia.
 
Kwa watu ambao hawana magari ya kisasa sana ambayo mifumo yake si complicated unaweza kufanya kitu kimoja kuzuia uizi wa gari yako.
Unatafuta fundi wa umeme wa magari ambaye anaijua kazi yake. Unampa kazi ya ku disconnect njia ya kutupa moto au distributor kisha anai connect na switch ndogo tu ambayo utachagua wapi pa kuiweka pa siri ambayo utajiapiza kuto mjuza mtu yoyote yule zaidi ya huyo fundi aliyekutengenezea.

Akimaliza kazi, ina maana wewe ukizima gari basi unazima na njia ya distributor manually. Hii ina maana akija mtu na funguo bandia akiwasha taa za doush body zita display normally lakini kila akiwasha gari haitawaka milele maana ile njia ya moto ambayo inakuwa imechukuliwa toka kwenye controll box itakuwa haijaruhusiwa. Na ukitaka kuwasha unaruhusu moto manually halafu kisha unapiga kick ngoma itaitika.

Hii nilijifunza baada ya kupata taarifa kuwa jamaa wameshachonga funguo za kijigari changu uchwara. Kutoka hapo nipo salama na siazimishi gari kwa mtu na kuitunza siri hiyo.
 
tujuze ililipataje mpwa
2002 jamaa yetu aaliibiwa gari pale kinondon akakimbilia kituo cha polisi osterbay..tukakutana kama wsatu 7 mmoja wapo mtoto wa aliekuwa na cheo cha kova...akatushauri aingie ndan na jamaa alipotoka jamaa akatumbia zile landrover 3 zoko fit kuhangaika ila tuna laki tano,500,000 live..tukawahahakikishia wakaomba kila mmoja tuingie kwenye defender wapwa ...walikuwa wanaita kwenye redio gari yangu ikapita moroco kwenda sinza na wengine wakala morocco wengine wakapitiliza mwenge wakiwa bamaga jamaa mmoja akadai imepita kwa mogole kama ni hiyo ikiwa speed kubwa....jamaa wakaanza kuambiana washenzi hao huyo atakuwa mapesa mwenzake tena mwanamke akadai akuna wakina black ninja hao wahuni wa magomeni ...tuko kijiweni kijitonyama polisi wanaita wanaliona gari limepaki kwenyemtaro ..wapwa tulifika tukakuta kama wamepakijamaa alikuwa na laki tatu tukapita na defender pale makumbusho atm crdb ungeona kama wanamsubiri afande kova we acha tukaambiwa sisi tubaki mwenzetu atakuja na gari na yule mwingine
kazi ikaisha
hope mlioibiwa msipobana mtapata gari znu ila kuweni makini na maafande wa central wezi sana wanadanganya wana uwezo wa kulipata utamtafuta mamako mzazi na hela wamaweka kwenye ass

sijakuelewa...
 
Kwa watu ambao hawana magari ya kisasa sana ambayo mifumo yake si complicated unaweza kufanya kitu kimoja kuzuia uizi wa gari yako.
Unatafuta fundi wa umeme wa magari ambaye anaijua kazi yake. Unampa kazi ya ku disconnect njia ya kutupa moto au distributor kisha anai connect na switch ndogo tu ambayo utachagua wapi pa kuiweka pa siri ambayo utajiapiza kuto mjuza mtu yoyote yule zaidi ya huyo fundi aliyekutengenezea.

Akimaliza kazi, ina maana wewe ukizima gari basi unazima na njia ya distributor manually. Hii ina maana akija mtu na funguo bandia akiwasha taa za doush body zita display normally lakini kila akiwasha gari haitawaka milele maana ile njia ya moto ambayo inakuwa imechukuliwa toka kwenye controll box itakuwa haijaruhusiwa. Na ukitaka kuwasha unaruhusu moto manually halafu kisha unapiga kick ngoma itaitika.

Hii nilijifunza baada ya kupata taarifa kuwa jamaa wameshachonga funguo za kijigari changu uchwara. Kutoka hapo nipo salama na siazimishi gari kwa mtu na kuitunza siri hiyo.

mkuu usije ukajidanganya na hiyo alarm yako kuwa ni ulizi tosha kazi ya kudisconect hiyo takataka kwa mtu anaejua haichukui hata dk 3.Kumbuka wanaoiba magari hayo yote unayofikiri ni ulinzi wa gari lako wenzako wanajua vizuri sana yaani ukisha fungua mambo yaliyobakia ni mterezo tuu.
Hiyo switch yako hata ukiificha mbinguni mfumo mzima wa alarm huwa wanaufunga chini ya usukani na kila kitu wanakiweka hapo.
Ukitaka kujua switch ipo wapi ukichungulia hapo kwenye alarm utaona kila kitu mpaka waya zinazohusika na kukata moto unazipata hapo so wajanja wanatumia jumper waya na ngoma inapiga ngoma kama kawa.
 
Mimi nafikiri hata hawa polisi watakuwa wanahusika. tuliibiwa gari pale udsm tukaja kuipata sinza tena kwa kutoa hela. kidogo ipelekwe mkoa. ukienda kutoa taarifa polisi utazungushwa hadi uchoke. mara utasikia leta hela ya mafuta mara hii kazi ni nzito. but kuna watu fulani wanao fahamika pale sinza. kwahiyo gari yako ikiibiwa maeneo hayo unaelewana nao hela.wanaitafuta halafu wanakuelekeza uende kuichukua sehemu fulani labda stand au bar, na gari unaikuta. kwanini polisi wasidili na hao watu?. Mia

endelea kufikiria tushushien mitumba ile ya japan watu wapige kazi
 
mkuu usije ukajidanganya na hiyo alarm yako kuwa ni ulizi tosha kazi ya kudisconect hiyo takataka kwa mtu anaejua haichukui hata dk 3.Kumbuka wanaoiba magari hayo yote unayofikiri ni ulinzi wa gari lako wenzako wanajua vizuri sana yaani ukisha fungua mambo yaliyobakia ni mterezo tuu.
Hiyo switch yako hata ukiificha mbinguni mfumo mzima wa alarm huwa wanaufunga chini ya usukani na kila kitu wanakiweka hapo.
Ukitaka kujua switch ipo wapi ukichungulia hapo kwenye alarm utaona kila kitu mpaka waya zinazohusika na kukata moto unazipata hapo so wajanja wanatumia jumper waya na ngoma inapiga ngoma kama kawa.

afande kova anawatafuta kweli kama ninyi mpwa
 
Back
Top Bottom