Wizi kwenye magari sasa unashika kasi

mkuu ujue nikimwaga mambo hapa nihatari sana ntakuwa nimefungua mlango wa wengi kuingia kwenye wizi wa magari.

DODOSO

1-mim nifund umeme wa magari so nishawahi pata kesi kwa ajiri ya ku unlock gari ya mzee 1 ambaye mwanae alinipakaz hiyo haichukui hata dk 5.

Ila kwa hawa wezi wa magari kunakifaa wanatumia wanachofanya ni kukiweka mita chache na unapopaki gari yako au mtu anakuwa nacho karibu na gari yako utakapo funga gari tu kwa kutumia remot yako chenyewe kinanasa zile code na kuzi record na pind utakapo ondoka nyuma yeye ana unlock na kiulain anatoweka na gari yako kwa style hiyo hata uwe na car alarm ya kutoka mbingun lzm uibiwe tu.

2-kuna wanaotumia remot universal (malaya) ku unlock hii huwa inafanction sana kwa hiz car alarm za kichina za bei chee.

Kuna njia nyingine za kawaida tu watumiazo wezi wa power window,engine control,radio n.k

I agree with you 100%. Hizi alarm hasa za Europe zimekuwa designed katika ku-alart watu pindi mwizi anapovamia gari. Kwa wenzetu utamaduni wao kukuripoti hata kama gari ni lako ni jambo dogo sana. Muda wa Dk 5 utajisitukia umezunguukwa na polisi na kukuuliza credentials zako. Maana si jambo la kawaida kufungua bonet barabarani au kutengenezea gari mtaani. Sisi kwetu nobody cares maana magari mabovu yamejaa na kuharibikiwa ni jambo la kawaida na hilo ndilo linalowapatia cover wezi.
 
tatizo la wizi wa magari au vifaa vya gari ni serikali iliporuhusu biashara ya 'used' maarufu kama chinjachinja! ni mara ngapi tunapata mifano ya watu wameibiwa power wondow au wind screen akienda gerezani anakikuta ndo hicho cha kwake ila hata ukienda polisi hamna msaada utaopata, kwa iyo tatizo limekita mizizi kutokana na biashara ya chinjachinja kushamiri!
 
Leo nimejifunza mengi sana. Mwezi wa 4 mwaka jana niliibiwa gari maeneo ya Sinza. Imeniuma sana maana ilikuwa mpya kabisa. Nilipokuwa nafatilia polisi nikaona wananizungusha sana nikaamua kuachana nalo na kuelekeza nguvu zangu kwenye kusaka maisha. Namshukuru Mungu sasa nina gari nyingine. Ila leo nimejifunza mengi sana.
 
Watu kama hawa ukikamata si unachinjachinja kama mboga. mana nahisi hata moto haumtoshi. ngoja tuanze kutafuta namna za kuwatega.
 
Back
Top Bottom