Wizi kwenye ATM

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Heshima mbele wakuu!wajamen naomben kuulza,kuna ndugu yangu mmoja ana a/c kwenye bank ya crdb,kakuta kias kikubwa cha akiba yake hakipo,sasa akajarbu kwenda kwenye bank husika kuomba bank statement inavoonyesha kuna pesa zlichukuliwa tarehe flan bila yeye kujua na mchukuaji atakua ni mtu wake wa karibu ambaye anajua hadi pasword zake,sasa ninachoomba 2saidiwe ni jins ya kumjua huyo m2 alyeituibia hzo fedha!natangulza shukran.
 
Kwani kwenye ATM si kuna kamera za usalama? We mwambia aende awaone wahusika watamwonesha picha ya huyo aliyeenda kudroo hiyo pesa.
 
Kwani kwenye ATM si kuna kamera za usalama? We mwambia aende awaone wahusika watamwonesha picha ya huyo aliyeenda kudroo hiyo pesa.

Nalazima atakuwa mtu wa karibu sana na familia yake...Mke/Mume,Mtoto, Rafiki wa karibu sana, Hawara, etc
 
Ni rahisi sana Tulisha mkamata mshikaji wa karibu sana kuwa ni mwizi. unaenda kufungua kesi au muulizie meneja ili mambo yaende fasta.
kwenye bank statment itaonyesha siku zilio ibiwa wataangalia kwenye camera on exactly date huyo ataonekana ila pole sana kama atakuwa alivaa BAIBUI!!!siku hizi wanaiba kwa kuvaa ninja!!

cheers!!
 
ok ..unachotakiwa kufanya ni kuandika barua ya malalamiko kwenda kwa branch manager wa brach uliyofungulia account...from there wao ndo wataendelea kufanya investigation including kuangalia images za CCTV camera kuangalia ni nani aliyechukua hela.Kwasababu hela zimechukuliwa through ATM kwa password yako then bank haipo liable kurudisha hela sana sana itakupa images kwa ajili ya ushahidi mahakamani....nakushauri siku nyingine usiweke password yako na card pahali pamoja
 
siku hzi watu wanaibiana sana kwa style hizo
tatizo ni kwamba watu wengi wanaweka miaka yao ya kuzaliwa kuwa ndo PIN
AU birthday zao na wengine wanaweka PIN kwenye simu zao za mkonono
pia wengine wanaweka pin na card pamoja yaani wanaandika kwenye karatasi then wanaweka
pamoja na card.
wengine huwa wanatuma ndugu zao au marafiki kwenda kuwachukulia hela sasa unakuta hyo mtu tayari anaijua PIN yako
anachofanya ni kuiba card na kuirudisha palepale.

So we have to be very careful and trust no one
 
Heshima mbele wakuu!wajamen naomben kuulza,kuna ndugu yangu mmoja ana a/c kwenye bank ya crdb,kakuta kias kikubwa cha akiba yake hakipo,sasa akajarbu kwenda kwenye bank husika kuomba bank statement inavoonyesha kuna pesa zlichukuliwa tarehe flan bila yeye kujua na mchukuaji atakua ni mtu wake wa karibu ambaye anajua hadi pasword zake,sasa ninachoomba 2saidiwe ni jins ya kumjua huyo m2 alyeituibia hzo fedha!natangulza shukran.

Jinsi ya kumjua huyo mtu kwanza anahitaji ushirikiano wa Benki.

Benki watamwambia hizo pesa zilitolewa kwenye ATM ya station gani. Na wanaweza kuwa na backup ya images ya watu walioenda kutoa pesa kwenye ATM hiyo kwa muda ambao transaction zilifanyika.


It very simple kama benki

  • wanakubali kutoa ushirikiano
  • Wana securuty system in place kwenye vituo vyao vya ATM.
Lakini kibongo bongo sijui but hata kama benki haipo liable kwa wizi huo kama sio wewe uliyezitoa wambie unatak wakupe msaada wa kujua nani alizotoa. May be u might need kupata kibali cha polisi ili benki waweze kutoa ushirikiano.
 
huyo mwizi anaweza kupatikana kama anafahamika na watu wajamii yako ,swala lipo ivi jamaa yangu hata ukienda kwa meneja bila kuripoti police ni kazi bure kwani hiyo ni jinai sasa unacho takiwa toa taarifa kituo chochote jirani yako theni afisa upelelezi kwa kibali maalumu atakwenda kuonana na manager wa benki husika hao ndo wanao ruhusiwa kupata picha za wizi wowote hapo bank labda kama bank manager unaujuani naye wa ndani.
 
Muulize vizuri shemeji na familia! Kabla haujaamua kulipeleka suala hili kisheria zaidi, utakuja kuumbua one of your own buree!
 
ni rahisi sana tulisha mkamata mshikaji wa karibu sana kuwa ni mwizi. Unaenda kufungua kesi au muulizie meneja ili mambo yaende fasta.
Kwenye bank statment itaonyesha siku zilio ibiwa wataangalia kwenye camera on exactly date huyo ataonekana ila pole sana kama atakuwa alivaa baibui!!!siku hizi wanaiba kwa kuvaa ninja!!

Cheers!!


ndugu kama wenzangu hapo juu wala asiumize kichwa ila akubaliane na atakayoyakuta... Aende kwenye main branch aliofungulia account ataa kama watakachofanya wataangalia sikuhiyo amechukua atm gani??baada ya hapo ataitwa..baada ya hapo ataonyeshwa aliechukua ila naomba awe mpole na atakayoyakuta..nasema hivi sisi tuliwahi kutaka kudondoka...kuna mamamdogo alifiwa na mumewe alipokufa nyumban akabaki na watoto wa kike wa wawili na mwanaume mmoja..wa kike wako magereza wanafanya kazi.....marehemu akalipwa kiaasi kadhaa kingi tu kama milion 35,,wakatoa hapo tano ikabaki 30,,...yule mwanamke wa magreza akawa ana jamaa lake linamsumbua lina shida ya akununua gari ..ati akamwambia amuazimie sehemu million 2.5 atamrudishia baada ya mwezi....lilivyo jinga likachukua kadi ya maza wake likavuta million 1 kesho yake 1..keshoyake 1..akawa ametoa tatu kwa siku tatu pale mliman .city.hii ya mwisho aliichukulia pale shell ubungo ya oilcom...gafla maza akawa anatuma hela kwenye ujenzi..akakuta he imeliwam million 3..ndipo alipotushirikisha ndugu wa karibu..tukampeleka pale kwenye branch yake wakaangalia wakaona zilipigwa mil 2 mliman city na moja ubungo..akambiwa aende mliman amwone bwana mmoja anaitwa j.akatuingizandan akasema kaen hapo akaingia sehemu na kuanza kurusha mambo yake loh!!!! Ilipofika huo muda maana ukichukua wameonyesha imechukuliwa saa ngaapi..ndugu tunamwona mdogo wetu wa kike ..ndio huyo kampa tena sio mume bwana lake..wakavuta ya ubungo shell sikuhiyo huyo huyo yaani mpka anaweka kwenye pochi tukaomba kesho yake tuje nae...alipoambiwa alikana kabisa mpaka akamwapia marehemu babake..aisee kuna wanawake ngunguri....gari ikaenda kumchukua na mamake mpaka mliman city we alipofika anaona cinema ya mitun chakraboti akaulizwa wewe si huyu akaanza kulia jamaa wa bank wakamchukua wakamwingiza ndan wakaanza kumpa vitisho hizi hela n za bank si mamako kwa sasa tuambie unaturudishiaje ..wakampiga mikwara akadai amempa bana lake..tukachukua polisi mmoja tukaenda kwa jamaa bahati tukamkuta akadai alipewa 2 tu na aliahidi kumrudhsia baada ya miezi sita wee...akabebwa akiwa njian akaelezwa zimeibiwa bank na hi n kesi ya bank jamaa akaomba arduishwe hme akachukue kadi audishe so asiumize kichwa swala ni jinsi ya kupokea atakaponyeshwa aliezchukua
 
Senetor umechukua mzigo wa watu sasa unataka kujua kama utajulikana au ha! ha! ha! ha!.....its jokes tu!...ila umema kiasi kibwa ni zaidi ya million or?.......sababu kutoa hela kwenye ATM haiwezi kuzidi million ikizidi hapo inamaana ilitolewa ndani na ni kosa kwa teller kutoa pesa kwa mtu asiyemiliki hiyo accnt, sbb hata kama unakwenda mke kuchukula hela za mme hawatampa.......but kama walisema wengine hapo juu just nenda kwa bank manager mueleze watakusaidia...nafikiri mkipitia polisi mlomlongo utakuwa mrefu sana sbb nynyi mnachotaka ni kumjua tu nani aliyezichukua hizo hela
 
Pole ndugu, zingatia ushauri wa wana JF hapo juu kufuatilia bank ila napo itategemeana na bank manager kwani kama naye ni njaa kali ni taaaabu kwelikweli! Wanasema kufa kufaana. Nasema kwa mara ya tena poleni sana.
 
kumbe na mahawara nao wamo eeh? usije ukafunga kesi na mwenza akaja kutoa support,mkifika mahakamani hawara anasema ulimpa mwenyewe akachote kodi ya pango!
<p>
<font size="3"><font color="magenta">Nalazima atakuwa mtu wa karibu sana na familia yake...Mke/Mume,Mtoto, Rafiki wa karibu sana, Hawara, etc</font></font>
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
ndugu kama wenzangu hapo juu wala asiumize kichwa ila akubaliane na atakayoyakuta... Aende kwenye main branch aliofungulia account ataa kama watakachofanya wataangalia sikuhiyo amechukua atm gani??baada ya hapo ataitwa..baada ya hapo ataonyeshwa aliechukua ila naomba awe mpole na atakayoyakuta..nasema hivi sisi tuliwahi kutaka kudondoka...kuna mamamdogo alifiwa na mumewe alipokufa nyumban akabaki na watoto wa kike wa wawili na mwanaume mmoja..wa kike wako magereza wanafanya kazi.....marehemu akalipwa kiaasi kadhaa kingi tu kama milion 35,,wakatoa hapo tano ikabaki 30,,...yule mwanamke wa magreza akawa ana jamaa lake linamsumbua lina shida ya akununua gari ..ati akamwambia amuazimie sehemu million 2.5 atamrudishia baada ya mwezi....lilivyo jinga likachukua kadi ya maza wake likavuta million 1 kesho yake 1..keshoyake 1..akawa ametoa tatu kwa siku tatu pale mliman .city.hii ya mwisho aliichukulia pale shell ubungo ya oilcom...gafla maza akawa anatuma hela kwenye ujenzi..akakuta he imeliwam million 3..ndipo alipotushirikisha ndugu wa karibu..tukampeleka pale kwenye branch yake wakaangalia wakaona zilipigwa mil 2 mliman city na moja ubungo..akambiwa aende mliman amwone bwana mmoja anaitwa j.akatuingizandan akasema kaen hapo akaingia sehemu na kuanza kurusha mambo yake loh!!!! Ilipofika huo muda maana ukichukua wameonyesha imechukuliwa saa ngaapi..ndugu tunamwona mdogo wetu wa kike ..ndio huyo kampa tena sio mume bwana lake..wakavuta ya ubungo shell sikuhiyo huyo huyo yaani mpka anaweka kwenye pochi tukaomba kesho yake tuje nae...alipoambiwa alikana kabisa mpaka akamwapia marehemu babake..aisee kuna wanawake ngunguri....gari ikaenda kumchukua na mamake mpaka mliman city we alipofika anaona cinema ya mitun chakraboti akaulizwa wewe si huyu akaanza kulia jamaa wa bank wakamchukua wakamwingiza ndan wakaanza kumpa vitisho hizi hela n za bank si mamako kwa sasa tuambie unaturudishiaje ..wakampiga mikwara akadai amempa bana lake..tukachukua polisi mmoja tukaenda kwa jamaa bahati tukamkuta akadai alipewa 2 tu na aliahidi kumrudhsia baada ya miezi sita wee...akabebwa akiwa njian akaelezwa zimeibiwa bank na hi n kesi ya bank jamaa akaomba arduishwe hme akachukue kadi audishe so asiumize kichwa swala ni jinsi ya kupokea atakaponyeshwa aliezchukua

Very interesting story, thanks!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom