mbasajohn
JF-Expert Member
- Mar 14, 2009
- 247
- 39
hivi karibun imegundulika kuwa mfumo wa kujiunga wa nmb mobile unatoa mwanya wa wez kuiba pesa kwenye acount za wateja wa nmb h n ktokana na ukweli kuwa mwiz anahtaj kujua ac no. Jina na tarakim tano za mwsho kweny atm kad kuweza kufungua nmb mobile na baada ya hapo anauwezo wa kufanya k2 chochote ndan ya akaunt ya mteja.
Hili limegundulika hv karibun pale mwalim m1 mteja wa nmb alipojkta akiibiwa zaid ya 1.5 m kwenye akaunt yake na m2 ambaye alifungua nmb mobile bila taarifa ya yake.
Kwa kushlkiana na police walifanya uchunguz na kugundua kuwa watu zaid ya watano wengne walikuwa wameibiwa kwa njia hyo kias kikubwa cha pesa.
Cha kushangaza nmb walikataa kutoa namba iliyotumika kuiba wakdai kulinda privacy ya mteja mwiz mpaka police walipowataka watoe kwa nguv.
Kioja kngne kilikuja pale namba hyo ya cm zantel ilpokutwa haijasajliwa na zantel kukata kufanya chochote kumjua mteja wao huyo ambaye alishrk wiz huo.
Hili limegundulika hv karibun pale mwalim m1 mteja wa nmb alipojkta akiibiwa zaid ya 1.5 m kwenye akaunt yake na m2 ambaye alifungua nmb mobile bila taarifa ya yake.
Kwa kushlkiana na police walifanya uchunguz na kugundua kuwa watu zaid ya watano wengne walikuwa wameibiwa kwa njia hyo kias kikubwa cha pesa.
Cha kushangaza nmb walikataa kutoa namba iliyotumika kuiba wakdai kulinda privacy ya mteja mwiz mpaka police walipowataka watoe kwa nguv.
Kioja kngne kilikuja pale namba hyo ya cm zantel ilpokutwa haijasajliwa na zantel kukata kufanya chochote kumjua mteja wao huyo ambaye alishrk wiz huo.