sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Salaam , ndg zanguni , yamenikuta jana mwandani wangu alikwenda tabata kumsalimia rafiki yake, kwa bahati mbaya hakuwa na mtu ktk gari hivyo alipofika kwa mwenyeji wake aliegesha gari nje na yeye kuingia ndani. aliporudi akakuta kioo cha mbele kimeyeyushwa na tundu kubwa liko pale na pochi lake na v2 kadhaa vimetoweka. JAMANI MUWE NA TAHADHALI IKIBIDI MUWE MNAACHA M2 KTK GARI. HUYO MWIZI AMEKOMBA V2 VYA MAANA NA AMETUACHIA HEKAHEKA.