shungurui
JF-Expert Member
- Sep 1, 2008
- 3,765
- 5,154
wizi ulio fanywa na mawaziri wetu ni jambo la kusikitisha na laibu kwa taifa letu na tena ni aibu kwa raisi aliye wateua.
lakini kuna mambo ya kujiuliza hapa, kwa nini mawaziri wengi kiasi hiki wamehusika na wizi huu? tena ndani ya kipindi kifupi toka wateuliwe, je ulikuwa ni mkakati wa pamoja kwa lengo furani "asante" au mchango kwa chama au ndio maandalizi ya mbio za urais,vinginevyo kwanini kuna kuwa na uzito kuwafukuza hawa wezi kisha kuwapeleka mahakamani.
mimi sioni kwama kuna hitaji baraka za chama kumfukuza mwizi.
lakini kuna mambo ya kujiuliza hapa, kwa nini mawaziri wengi kiasi hiki wamehusika na wizi huu? tena ndani ya kipindi kifupi toka wateuliwe, je ulikuwa ni mkakati wa pamoja kwa lengo furani "asante" au mchango kwa chama au ndio maandalizi ya mbio za urais,vinginevyo kwanini kuna kuwa na uzito kuwafukuza hawa wezi kisha kuwapeleka mahakamani.
mimi sioni kwama kuna hitaji baraka za chama kumfukuza mwizi.