Wizi huu wa mawaziri wetu ulikuwa kwa ajiri ya asante ?

shungurui

JF-Expert Member
Sep 1, 2008
3,765
5,154
wizi ulio fanywa na mawaziri wetu ni jambo la kusikitisha na laibu kwa taifa letu na tena ni aibu kwa raisi aliye wateua.
lakini kuna mambo ya kujiuliza hapa, kwa nini mawaziri wengi kiasi hiki wamehusika na wizi huu? tena ndani ya kipindi kifupi toka wateuliwe, je ulikuwa ni mkakati wa pamoja kwa lengo furani "asante" au mchango kwa chama au ndio maandalizi ya mbio za urais,vinginevyo kwanini kuna kuwa na uzito kuwafukuza hawa wezi kisha kuwapeleka mahakamani.

mimi sioni kwama kuna hitaji baraka za chama kumfukuza mwizi.
icon8.png
 
wizi ulio fanywa na mawaziri wetu ni jambo la kusikitisha na laibu kwa taifa letu na tena ni aibu kwa raisi aliye wateua.
lakini kuna mambo ya kujiuliza hapa, kwa nini mawaziri wengi kiasi hiki wamehusika na wizi huu? tena ndani ya kipindi kifupi toka wateuliwe, je ulikuwa ni mkakati wa pamoja kwa lengo furani "asante" au mchango kwa chama au ndio maandalizi ya mbio za urais,vinginevyo kwanini kuna kuwa na uzito kuwafukuza hawa wezi kisha kuwapeleka mahakamani.

mimi sioni kwama kuna hitaji baraka za chama kumfukuza mwizi.
icon8.png

kama kumbukumbu zangu zinanituma vizuri ninakumbuka katika hotuba mojawapo kali ya JK alipota urais tu alisema hivi!!

NINATAKA NITAKAPOONDOKA MADARAKANI 2015 NIWE NIMEZALISHA MABILIONEA WATANZANIA 100.

NA NDIPO ALIPOANZA ZIARA ZA NJE NA KUNDI KUBWA LA WAFANYABIASHARA WA KITANZANIA.

LABDA NDIO MAANA MAWAZIRI WAKE WANATAKA WAINGIE KATIKA HIYO REKODI
MNA HIYO KUMBUKUMBU?
 
Back
Top Bottom