Nimekuwa nikiona katika vipindi vya habari vya ITV watu wenye matatizo mbalimbali wanaomba misaada kutoka kwa wasamaria wema. Je ile wizara ya ustawi wa jamii ipo? Na kama ipo kazi yake ni nini?
Duh! sidhani kama ipo maana kama ipo inafanya shughuli gani?? kila kukicha tunaona NGOs zikifanya kazi zake na wafadhili kama kina VOda kwa watoto na kina mama, the same as TBL and so! sasa hii wizara afadhali ifutwe tu! wanakula pesa na nataka sana kujua bajeti yao ilikubaliwa na imemlenga nani?? au ndio mambo kama yale ya Nishati ???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.