Msaada tafadhali: Ofisi za ustawi wa jamii zimegeuka kuwa chama cha kusaidia Wanawake

mnangagwa

JF-Expert Member
Dec 3, 2017
978
1,424
Heshima kwenu wakuu, Ustawi wa Jamii ni taasisi iliyo ndani ya serikali,na lengo la kuanzishwa kwake ni kutoa huduma zinazohusiana na masuala ya haki za watoto.

Lakini usiombe wewe mwanaume ukapelekwa ustawi wa Jamii na mwanamke hata kama una haki lakini utaonekana ww mwanaume ndo mkosaji.

Ofisi za ustawi wa jamii zimegeuka kuwa chama cha kusaidia wanawake,hasa afisa ustawi wa jamii manispaa ya ilala anaitwa magdalena msaki amenivurugia familia yangu.

Mke wangu aliondoka mwaka 2019 baada kumgundua kuwa katoa mimba ya Hawara yake na kuniachia watoto wanne mmoja akiwa na miaka miwili,toka muda huo alipeleka shauri bakwata akidai talaka,qadhi mkoa wa dsm akatoa hukumu ambayo mke alionekana na makosa.

Akakimbilia ustawi wa jamii manispaa ilala(magdalena msaki ni ndg yake) nikapigiwa simu na kuhojiwa, nikakataa mahojiano ya simu nikihitaji niletewe barua ya wito.

Nililetewa barua ya wito,kufika ofisini nalazimishwa nikabidhi watoto kwa mama yao bila maelezo ya kina, nikakataa kuwakabidhi mpaka yawepo maandishi ya kisheria ya makabidhiano hayo,matokeo yake naambiwa watoto sio wangu nawang'ang'ania wa nini?

Afisa ustawi wa jamii nae akaniambia watoto sio wangu lakini naonekana nina kiherehere sana,nikamjibu kama watoto sio wangu nitafanya utaratibu wa kuwapima d.n.a ili nithibitishe,hapo ndo shida ilipoanzia,ikafanyika connection kwenda mahakama ya watoto kisutu na akakabidhiwa hakimu maalum anishughulikie kabla sijafanikiwa adhma yangu.

Hukumu ikatoka watoto wote wanne ambao wakubwa ni mapacha 12yrs,9yrs na 6yrs wote nikaamriwa nimkabidhi mama yao,na afisa ustawi jamii ameniapia popote nitakapoenda kulalamika atakuwa upande wa mwanamke na nitaijua nguvu ya wanawake.

Wajuzi na wataalamu naomba ushauri wenu nifuate taratibu zp ili kumshtaki afisa ustawi jamii huyu kwa kutumia ofisi ya serikali kwa manufaa yake binafsi.
 
Baadhi ya kesi utapata tabu unapeleka BAKWATA na huyo mkeo sio muumini wa uislamu labda ni jina tu ,mpaka anaenda ustawi wa jamii basi huyo sio muumini na tabia zake za hovyo hakika umepata hasara.

Usipiganie kuhusu watoto ,jiweke vizuri kiuchumi utakuja kuzeeka vibaya watoto hawapiganiwi waache waende kama sio wako.!
 
Kuna raha ya kuitwa baba, lakini pia kuwa na watoto ambao kila kunapokucha unapambania furaha yao.

Nawaza tu unapokuwa baba unayejali na kuipenda familia, especially watoto, linapotokea jambo kama lako unakuwaje ki akili.

Kama ni baba unayependa watoto wako, sasa hivi kuna wanasheria wengi tu mtaani, uza kazi wakusaidie ufanye vipimo vya DNA. Baada ya majibu kupatikana ufanye maamuzi.

Kifupi hakuna mtua ajuaye kila taaluma. Tuheshimu fani za kila mtu.
 
Heshima kwenu wakuu, Ustawi wa Jamii ni taasisi iliyo ndani ya serikali,na lengo la kuanzishwa kwake ni kutoa huduma zinazohusiana na masuala ya haki za watoto.

Lakini usiombe wewe mwanaume ukapelekwa ustawi wa Jamii na mwanamke hata kama una haki lakini utaonekana ww mwanaume ndo mkosaji.

Ofisi za ustawi wa jamii zimegeuka kuwa chama cha kusaidia wanawake,hasa afisa ustawi wa jamii manispaa ya ilala anaitwa magdalena msaki amenivurugia familia yangu.

Mke wangu aliondoka mwaka 2019 baada kumgundua kuwa katoa mimba ya Hawara yake na kuniachia watoto wanne mmoja akiwa na miaka miwili,toka muda huo alipeleka shauri bakwata akidai talaka,qadhi mkoa wa dsm akatoa hukumu ambayo mke alionekana na makosa.

Akakimbilia ustawi wa jamii manispaa ilala(magdalena msaki ni ndg yake) nikapigiwa simu na kuhojiwa, nikakataa mahojiano ya simu nikihitaji niletewe barua ya wito.

Nililetewa barua ya wito,kufika ofisini nalazimishwa nikabidhi watoto kwa mama yao bila maelezo ya kina, nikakataa kuwakabidhi mpaka yawepo maandishi ya kisheria ya makabidhiano hayo,matokeo yake naambiwa watoto sio wangu nawang'ang'ania wa nini?

Afisa ustawi wa jamii nae akaniambia watoto sio wangu lakini naonekana nina kiherehere sana,nikamjibu kama watoto sio wangu nitafanya utaratibu wa kuwapima d.n.a ili nithibitishe,hapo ndo shida ilipoanzia,ikafanyika connection kwenda mahakama ya watoto kisutu na akakabidhiwa hakimu maalum anishughulikie kabla sijafanikiwa adhma yangu.

Hukumu ikatoka watoto wote wanne ambao wakubwa ni mapacha 12yrs,9yrs na 6yrs wote nikaamriwa nimkabidhi mama yao,na afisa ustawi jamii ameniapia popote nitakapoenda kulalamika atakuwa upande wa mwanamke na nitaijua nguvu ya wanawake.

Wajuzi na wataalamu naomba ushauri wenu nifuate taratibu zp ili kumshtaki afisa ustawi jamii huyu kwa kutumia ofisi ya serikali kwa manufaa yake binafsi.

IMG_7443.jpg



Hiyo hapo ni taarifa ya Dkt Gwajima yupo humu, fata maelekezo yake.
 
Heshima kwenu wakuu, Ustawi wa Jamii ni taasisi iliyo ndani ya serikali,na lengo la kuanzishwa kwake ni kutoa huduma zinazohusiana na masuala ya haki za watoto.

Lakini usiombe wewe mwanaume ukapelekwa ustawi wa Jamii na mwanamke hata kama una haki lakini utaonekana ww mwanaume ndo mkosaji.

Ofisi za ustawi wa jamii zimegeuka kuwa chama cha kusaidia wanawake,hasa afisa ustawi wa jamii manispaa ya ilala anaitwa magdalena msaki amenivurugia familia yangu.

Mke wangu aliondoka mwaka 2019 baada kumgundua kuwa katoa mimba ya Hawara yake na kuniachia watoto wanne mmoja akiwa na miaka miwili,toka muda huo alipeleka shauri bakwata akidai talaka,qadhi mkoa wa dsm akatoa hukumu ambayo mke alionekana na makosa.

Akakimbilia ustawi wa jamii manispaa ilala(magdalena msaki ni ndg yake) nikapigiwa simu na kuhojiwa, nikakataa mahojiano ya simu nikihitaji niletewe barua ya wito.

Nililetewa barua ya wito,kufika ofisini nalazimishwa nikabidhi watoto kwa mama yao bila maelezo ya kina, nikakataa kuwakabidhi mpaka yawepo maandishi ya kisheria ya makabidhiano hayo,matokeo yake naambiwa watoto sio wangu nawang'ang'ania wa nini?

Afisa ustawi wa jamii nae akaniambia watoto sio wangu lakini naonekana nina kiherehere sana,nikamjibu kama watoto sio wangu nitafanya utaratibu wa kuwapima d.n.a ili nithibitishe,hapo ndo shida ilipoanzia,ikafanyika connection kwenda mahakama ya watoto kisutu na akakabidhiwa hakimu maalum anishughulikie kabla sijafanikiwa adhma yangu.

Hukumu ikatoka watoto wote wanne ambao wakubwa ni mapacha 12yrs,9yrs na 6yrs wote nikaamriwa nimkabidhi mama yao,na afisa ustawi jamii ameniapia popote nitakapoenda kulalamika atakuwa upande wa mwanamke na nitaijua nguvu ya wanawake.

Wajuzi na wataalamu naomba ushauri wenu nifuate taratibu zp ili kumshtaki afisa ustawi jamii huyu kwa kutumia ofisi ya serikali kwa manufaa yake binafsi.
Aliyekuambia wewe kapuku umuoe mchaga ni nani? Hesabu maumivu.
Nikushauri kitu kimoja: Oa mwanamke mwingine wa kabila lako.
 
Heshima kwenu wakuu, Ustawi wa Jamii ni taasisi iliyo ndani ya serikali,na lengo la kuanzishwa kwake ni kutoa huduma zinazohusiana na masuala ya haki za watoto.

Lakini usiombe wewe mwanaume ukapelekwa ustawi wa Jamii na mwanamke hata kama una haki lakini utaonekana ww mwanaume ndo mkosaji.

Ofisi za ustawi wa jamii zimegeuka kuwa chama cha kusaidia wanawake,hasa afisa ustawi wa jamii manispaa ya ilala anaitwa magdalena msaki amenivurugia familia yangu.

Mke wangu aliondoka mwaka 2019 baada kumgundua kuwa katoa mimba ya Hawara yake na kuniachia watoto wanne mmoja akiwa na miaka miwili,toka muda huo alipeleka shauri bakwata akidai talaka,qadhi mkoa wa dsm akatoa hukumu ambayo mke alionekana na makosa.

Akakimbilia ustawi wa jamii manispaa ilala(magdalena msaki ni ndg yake) nikapigiwa simu na kuhojiwa, nikakataa mahojiano ya simu nikihitaji niletewe barua ya wito.

Nililetewa barua ya wito,kufika ofisini nalazimishwa nikabidhi watoto kwa mama yao bila maelezo ya kina, nikakataa kuwakabidhi mpaka yawepo maandishi ya kisheria ya makabidhiano hayo,matokeo yake naambiwa watoto sio wangu nawang'ang'ania wa nini?

Afisa ustawi wa jamii nae akaniambia watoto sio wangu lakini naonekana nina kiherehere sana,nikamjibu kama watoto sio wangu nitafanya utaratibu wa kuwapima d.n.a ili nithibitishe,hapo ndo shida ilipoanzia,ikafanyika connection kwenda mahakama ya watoto kisutu na akakabidhiwa hakimu maalum anishughulikie kabla sijafanikiwa adhma yangu.

Hukumu ikatoka watoto wote wanne ambao wakubwa ni mapacha 12yrs,9yrs na 6yrs wote nikaamriwa nimkabidhi mama yao,na afisa ustawi jamii ameniapia popote nitakapoenda kulalamika atakuwa upande wa mwanamke na nitaijua nguvu ya wanawake.

Wajuzi na wataalamu naomba ushauri wenu nifuate taratibu zp ili kumshtaki afisa ustawi jamii huyu kwa kutumia ofisi ya serikali kwa manufaa yake binafsi.
Yaan mkuu umepuguziwa mzigo harafu unaung'ang'ania piga chini hiyo mama imekwambia watoto sio wako wewe mwachie endelea kusambaza mbegu kwa Bado rijali utapata watoto kibao tu ambao mama zao watakuja kukupigia magoti utoe matunzo
 
Baadhi ya kesi utapata tabu unapeleka BAKWATA na huyo mkeo sio muumini wa uislamu labda ni jina tu ,mpaka anaenda ustawi wa jamii basi huyo sio muumini na tabia zake za hovyo hakika umepata hasara.

Usipiganie kuhusu watoto ,jiweke vizuri kiuchumi utakuja kuzeeka vibaya watoto hawapiganiwi waache waende kama sio wako.!
Wototo wenyewe anao wapigania wanaweza mfilisi kiuchumi na Bado wakaungana na mama yao na yeye akazeeka akiwa masikini na mpweke
 
Back
Top Bottom