The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,886
Hivi hili neno miundombinu maana yake hasa ni nini?????
Kila mara ukisikia viongozi wetu wakizungumzia miundombinu
utakuta wanazungumzia barabara.....
Sasa mpaka watu wa kawaida wameshazoea kuwa miundombinu
maana yake ni barabara.....
Halafu tazama tuna wizara ya madini na nishati,maji na mifugo,teknolojia na mawasiliano,ambazo ukizitazama utaona
zinahusika na miundombinu
kama neno miundombinu linatokana na neno infrastructure....
Basi inawezekana kuna makosa yanafanyika mahali....
Kenya wao wanaita miundomsingi wakimaanisha infrastructure
mimi naona tuwe na wizara za miundo mbinu badala ya miundombinu au wizara moja iundwe ya mundo mbinu ikihusisha yote.maji,nishati,mawasiliano,barabara,reli, n.k
wenzetu wakisema wanaimarisha miundombinu wanazungumzia
vitu vingi sana,bandari,airport,reli,simu,umeme,maji na kadhalika....
Sisi ukisikia neno miundombinu ujue wanazungumzia barabara..
Sijui tatizo liko wapi.....
Kila mara ukisikia viongozi wetu wakizungumzia miundombinu
utakuta wanazungumzia barabara.....
Sasa mpaka watu wa kawaida wameshazoea kuwa miundombinu
maana yake ni barabara.....
Halafu tazama tuna wizara ya madini na nishati,maji na mifugo,teknolojia na mawasiliano,ambazo ukizitazama utaona
zinahusika na miundombinu
kama neno miundombinu linatokana na neno infrastructure....
Basi inawezekana kuna makosa yanafanyika mahali....
Kenya wao wanaita miundomsingi wakimaanisha infrastructure
mimi naona tuwe na wizara za miundo mbinu badala ya miundombinu au wizara moja iundwe ya mundo mbinu ikihusisha yote.maji,nishati,mawasiliano,barabara,reli, n.k
wenzetu wakisema wanaimarisha miundombinu wanazungumzia
vitu vingi sana,bandari,airport,reli,simu,umeme,maji na kadhalika....
Sisi ukisikia neno miundombinu ujue wanazungumzia barabara..
Sijui tatizo liko wapi.....