Naomba kuuliza kwa anaefahamu Wizara ya Kilimo itatoa lini ajira zake tumesubiri sana kimya afu walituzuia kusoma wakisema hadi tuajiriwe tufanye kazi kwa miaka miwili ndio tukasome hadi leo kimya maisha magumu.
Pole Sana Kijana Wangu. Wenzako Wanaripoti Kila Leo Kwny Vituo Vya Kazi