mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 471
Baada ya MNH kukana kuwalipa posho ya sh laki moja kwa siku madaktari wanajeshi wanafanya idara ya dharura muhimbili,kuna mgoganzano kati wizara hizo juu ya nani awalipipe,kwa sasa ulinzi inaonea huruma afya kwa misukosuko iliyonayo.:A S embarassed: