Mifugo na uvuvi wametoa leo!kama pia uliomba cheki ndg
Lakin fununu vp lakin kuhusu tareh zao
Jamaa ushakata tamaa aisee sijui mungu akikujaalia umechaguliwa furaha yake sijui itakuwaje.usife moyo hata mungu hapendi watu kama nyinyi mnaokata tamaa mapema badadala ya kumuamini yeye kwamba utachaguliwa we unapoteza hope usijali kijanaafya kwa sasa iv ni ndoto kupata,.na kupata ni bahat sana..coz raia ni shaz waliaply..so kama tuna cha kufanya bora tujipange kivingine..tusitegemee kiviiile tutasanda..hata wakitoa selection mwz wa 12
Umeomba kozi gani mkuuSijui hao jamaa kama na this year wanaweza leta longo longo kama last year ni kuomba mungu tu.
Sijui hao jamaa kama na this year wanaweza leta longo longo kama last year ni kuomba mungu tu.
Mkuu subiri kwenda chuo tu Kwa tokeo hilo kama kweli 100% lazima upate kwenye cheti Ila si tuliomba diploma Kwa bio c chem c phy d engl d na math f ndo tunaumiza kichwakaka ni hivi Phy-C, Chem-D, Bio-C, Bmaths-D, Englanguage-C. Hapo niaje?
Mkuu subiri kwenda chuo tu Kwa tokeo hilo kama kweli 100% lazima upate kwenye cheti Ila si tuliomba diploma Kwa bio c chem c phy d engl d na math f ndo tunaumiza kichwa