-Serikali inaomba kuajiri jumla ya wataalamu/wahudumu wa afya 9,391. Kati ya hao wote madaktari, bingwa na wale wa kawaida wanaohitajika ni kama 300 (3.2%) tu.
-Wilaya na manispaa nyingi hazijaonyesha uhitaji wowote wa madaktari, wanahitaji clinical officers na Assistant medical officers-AMOs wasiopungua
elfu mbili.
-Sokoni tuna madaktari wa tiba MD na meno wasiopungua 700 ambao hawana ajira bado wanazungushwa!
-Hawa wengine wote 400 waende wapi? Je ni kweli kuwa nchi hii haihitaji madaktari kihivyo??
-Vyuo vingi vimefunguliwa ili kupata madaktari wa kutosha waende kwenye hospitali za mikoa ambazo zimeitwa za rufaa..Sasa kila mwaka(kuanzaia mwaka jana) angalau madaktari 500-600 wanamaliza shule, Je waende wapi kama Wizara haitaki kuwaajiri??
TAFAKARI...CHUKUA HATUA!!
-Wilaya na manispaa nyingi hazijaonyesha uhitaji wowote wa madaktari, wanahitaji clinical officers na Assistant medical officers-AMOs wasiopungua
elfu mbili.
-Sokoni tuna madaktari wa tiba MD na meno wasiopungua 700 ambao hawana ajira bado wanazungushwa!
-Hawa wengine wote 400 waende wapi? Je ni kweli kuwa nchi hii haihitaji madaktari kihivyo??
-Vyuo vingi vimefunguliwa ili kupata madaktari wa kutosha waende kwenye hospitali za mikoa ambazo zimeitwa za rufaa..Sasa kila mwaka(kuanzaia mwaka jana) angalau madaktari 500-600 wanamaliza shule, Je waende wapi kama Wizara haitaki kuwaajiri??
TAFAKARI...CHUKUA HATUA!!