Mtafiti1
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 263
- 148
Umekunywa soda zangu, utanibeba leo
Umechukua hela zangu, Utanibeba leo
Siondoki peka yangu leo...............
Hicho ndio kibwagizo cha Mzee yusuph baada ya kile cha babujiii ****!
WIZARA YA UTAMADUNI MKO WAPI?Wizara ya mama na mtoto je?
HUYU MTU ANATUHARIBIA WATOTO
MALEZI YATAKUWA MAGUMU!
Akifumba kidogo taarab haichezeki
hivi taarab ni lazima matusi ya wazi?
Umechukua hela zangu, Utanibeba leo
Siondoki peka yangu leo...............
Hicho ndio kibwagizo cha Mzee yusuph baada ya kile cha babujiii ****!
WIZARA YA UTAMADUNI MKO WAPI?Wizara ya mama na mtoto je?
HUYU MTU ANATUHARIBIA WATOTO
MALEZI YATAKUWA MAGUMU!
Akifumba kidogo taarab haichezeki
hivi taarab ni lazima matusi ya wazi?