4. Wizara ya elimuWizara hizi kwa sasa zimekosa mwelekeo na hazijui mbele wala nyuma.. zitazimika muda sio mrefu..
1. Wizara ya afya
2. Wizara ya ujenzi
3. Wizara ya Umeme ( Nishati)
Wizara ya ArdhiWizara hizi kwa sasa zimekosa mwelekeo na hazijui mbele wala nyuma.. zitazimika muda sio mrefu..
1. Wizara ya afya
2. Wizara ya ujenzi
3. Wizara ya Umeme ( Nishati)
Hii iko vizuri sema wanakazi ngumu kuhakikisha wanafanya mabadiliko makubwa kwenye Elimu katika kutekeleza Sera ya Elimu ya Mwaka 2014 pamoja na Mtaala mpya.Huyo Waziri na Makatibu wake nafuu watapata likipita Hilo.Na Raisi akitaka kuharibu movie ajifanye kutumbua hapo kuwasikiliza Chawa Itakuwa wabilah Tawfiq.4. Wizara ya elimu
Haina bajeti,haina vitendea kazi,ofc,nafuu iko wapi?Wizara ya ardhi kwa sasa imepata nafuu
Hii ndiyo ya hovyo kabisa yule ajuza kutwa anasifia Rais badala ya kufanya kaziWizara hizi kwa sasa zimekosa mwelekeo na hazijui mbele wala nyuma.. zitazimika muda sio mrefu..
1. Wizara ya afya
2. Wizara ya ujenzi
3. Wizara ya Umeme ( Nishati)
Iko hoi kabisaHaina bajeti,haina vitendea kazi,ofc,nafuu iko wapi?
Ridhiwani angeikomba ardhi nchi nzima...mwanaharamu yuleWizara ya ardhi kwa sasa imepata nafuu