Nikii-upload hapa vipi mkuu?Utanitumia audio ya Waziri Mkuu Pinda akitangaza operesheni "jino kwa jino" ambapo inadaiwa alitoa kibali kwa UVCCM kushiriki katika mauaji ya watu wanaoamini kuwa ndio wauaji wa maalbino. Kama unayo sehemu ya hotuba hiyo wasiliana nami haraka iwezekanavyo.
Wa kwanza kutuma ndiye atakayepata kifuta jasho hicho: Hata kama iko kwenye tape za kawaida.
Wasiliana nami: mwanakijiji@mwanakijiji.com
Nikii-upload hapa vipi mkuu?
itakuwa safi mkulu invisible,tupate kuisikiliza kutokea hapa.BTW ni kweli alitoa kauli hiyo? duuuh Mh.Pinda atakuwa ameudhiwa na hilo mpaka anashindwa kuzizuia hisia zake (emetions).
Lakini hili jambo linachukiza sana kuwafanya watu wasiishi kwa amani na kufurahia uwepo wao duniani ni jambo baya sana.
Exactly Mtu wa Kawaida,Hata mie nimesikia kipande hiki aliposema Mkuu Pinda nanukuu" watu wamekumbiza na kiungo cha albino halafu ukafika bondeni na ukakitupa halafu wakakukamata je wakufanyaje?" namaliza nukuu. Nadhani Mwanakijij kama utaweza kuwasiliana na BBC wanaweza kukupatia hii tape au watakusaidia zaidi jinsi ya kuweza kuipata.
Washauri wa Waziri Mkuu, Pinda inabidi aongee ASAP kukanusha kauli hiyo.
Rule of Law lazima itawale NO MATTER WHAT.
Sababu kama anayemuua albino, naye wananchi wakamuua, what will stop ndugu wa huyo marehemu na wao kuwauwa waliomuua, ambao itakuwa ni mzunguko wa mauaji kila mmoja akisema analipiza kisasi.
Hata mie nimesikia kipande hiki aliposema Mkuu Pinda nanukuu" watu wamekumbiza na kiungo cha albino halafu ukafika bondeni na ukakitupa halafu wakakukamata je wakufanyaje?" namaliza nukuu. Nadhani Mwanakijij kama utaweza kuwasiliana na BBC wanaweza kukupatia hii tape au watakusaidia zaidi jinsi ya kuweza kuipata.
Mimi siamini kuwa maneno hayo yamesemwa na Mh. Mizengo Kayanza Peter Pinda, Mbunge na Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambae kitaaluma, ni Mwanasheria aliyebobea!. Atakuwa amenukuliwa vibaya!.
Utanitumia audio ya Waziri Mkuu Pinda akitangaza operesheni "jino kwa jino" ambapo inadaiwa alitoa kibali kwa UVCCM kushiriki katika mauaji ya watu wanaoamini kuwa ndio wauaji wa maalbino. Kama unayo sehemu ya hotuba hiyo wasiliana nami haraka iwezekanavyo.
Wa kwanza kutuma ndiye atakayepata kifuta jasho hicho: Hata kama iko kwenye tape za kawaida.
Wasiliana nami: mwanakijiji@mwanakijiji.com
Kama ilitoka katika BBC nikueleza ilikuwa siku gani na wakti gani itapatikana tu