Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,497
- 113,592
Wanabodi,
Kitendo kilichofanywa na Naibu Spika, hakiwezi kuachwa hivi hivi, hivyo natoa wito kwa wabunge wetu, wenye mapenzi mema na taifa hili, kuanzisha vuguvugu la kuzifumua kanuni zote zinazompa spika/ naibu spika mwanya wa kuliendesha Bunge kwa udikteta kadri nafsi zao zinavyoona inafaa!,badala ya kuliendesha Bunge kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni.
Hakuna ubishi kuwa Mhe. spika, kuna wakati analiendesha bunge kibabe na kidikteta ila udikteta wa Spika unatokana na hulka za Uhehe na mazingira ya spika mwanamke kuliongoza Bunge lililotawaliwa na mfumo dume.
Mazingira ni kwa vile Mhe. Spika ameupata uspika sio kwa kuupigania na kumshinda spika Sitta, bali ameukwaa uspika kutokana na huruma tuu ya kijinsia kuwa, Spika Sitta ni mzuri na amefanya kazi nzuri, ila sasa CCM, imeamua kuitumia karata ya jinsia yake na sio kutokana na uwezo hivyo to prove she is able and capable, kujikuta analazimika aonyeshe uwezo na makucha, hivyo ku over do.
Kwa upande wa hulka yeye Spika ni mtu wa Iringa, Mhehe, Wahehe wako very serious, hawataki ujinga ujinga, hivyo they are always wako very emotional na hot tempered, hivyo Madam lady Speaker anakuwa easly provoked hivyo kupandisha hasira na morali kirahisi na kutoa maamuzi ya kibabe na kidikteta huku akiyatetea kwa hoja japo nyingine ni hoja dhaifu!, ila baada tuu ya muda mfupi, hasira hizo za Kihehe hupoa na kutulia hivyo mkikutana nje mtacheka tuu as if nothing happened!.
Ila huyu Naibu Spika, yeye japo ni mtu mtulivu, makini na mtaratibu sana kwa nje, ila kwa ndani ndie dikteta mbaya na hatari zaidi kuliko hata Madam Spika, huyu ni ile type ya watu kama alivyo simba mwenda kimya!
Hili nimelishuhudia leo bungeni wakati akiizima hoja ya dharura ya kuujadili mgomo wa madaktari kwa dharura iliyoibuliwa na wabunge wawili akiwemo Mhe. JJ Mnyika.
Hoja imeombwa kwa mujibu wa kifungu cha kanuni No. 47 ambapo Naibu Spika akaizima hivi hivi juu kwa kwa juu kwa macho makavu kabisa bila hata kupepesa macho wala ku blink jicho as if mgomo wa madaktari is nothing, kwa hoja rahisi na dhaifu kabisa kuwa hoja hiyo haikuungwa mkono!.
Kitendo tuu cha madaktari kugoma ni very serious issue kwa sababu kazi ya udakitari, inaambatana na kiapo cha kulinda uhai wa binadamu no matter what!. Kitendo tuu madaktari kugoma ni kitendo cha kushtusha taifa, hivyo kitendo cha hoja hii kuibuliwa bungeni na waheshimiwa wabunge wawili kwa mpigo ni uthibitisho tosha kuwa hoja hiyo tayari imeungwa mkono na wabunge wawili, sasa huyu Naibu Spika alitaka mpaka iungwe mkono na wabunge wangapi ndipo iwe hoja valid?.
Takwa la kanuni ni hoja kuungwa mkono na angalau wabunge wawili. Naibu Spika alipaswa kwanza kuuliza kama hoja hiyo inaungwa mkono lakini hakuuliza ili kama kuna wabunge wengine wanaounga mkono wajitokeze, yeye aliamua tuu kuizima jumla juu kwa juu!.
Watu kama hawa wanafikiri kwa kuzima hoja za msingi kama hizi ni kuwakomoa wapinzani kwa kudhani ndio wanaisaidia serikali bila kujijua hawaisaidii serikali, hawamsaidii rais wa JMT na hawalisaidii taifa kwa kuzuia hoja tete kama hii kujadiliwa na Bunge.
Kitendo cha Bunge kukataa kuujadili mgomo wa madaktari kutapelekea watu kupoteza maisha, waziri wa afya kupoteza kibarua chake na mwisho siku kitamlazimisha rais wa JMT kuja mbele ya umma, kwanza kwa kumtimua msaidizi wake, Waziri wa Afya as a scapegoat move, kisha kuwapigia magoti madaktari hawa kuwaomba wasitishe mgomo wao na warejee kazini.
Hivi seriousness ya mgomo wa madaktari inahitaji uungwaji wa mkono wa aina gani kuonyesha hili jambo ni dharura?!.
Mhe. Naibu Spika na ile height yake, na smilling face yake ndio type ya wale ambao wana ku stab on your face infront huku anakuangalia akismile as if nothing has happened!, wakati kwa kawaida stabbing hufanywa kwa nyuma on your back ili anaye ku stab asikuone usoni, ndio maana inaitwa backstabbing!.
Lengo la kanuni za Bunge ni kutoa muongozo kwa viongozi wa Bunge na Wabunge kuendesha Bunge letu, hivyo kanuni hizo zinapotumika ndivyo sivyo kuminya hoja za msingi, Wabunge wetu hakikisheni mnajenga hoja ya kubadili kanuni ili kuzuia madikteta wa type ya Spika na Naibu wasiabuse powers vested on them na kanuni haswa katika kutoa ufafanuzi jambo la dharura la kujadiliwa na bunge ni lipi?!.
Kama mgomo kama huu madaktari nchi nzima ambao, peoples life at stake, anaibuka mtu na kuuona sio dharura, jee mpaka kutokee nini ndipo lionekane hili ni jambo la dharura?, ua kusubiri kwanza watu wafe ndipo tuone sasa ni dharura?!.
Kwa haya yanayotekea bungeni sasa, yananifanya nimkumbuke sana Spika Sitta, kulikuwa hakuna ujinga ujinga kama huu tunaoushuhudia ukiendelea sasa kwenye hili Bunge letu tukufu.
Paskali
Kitendo kilichofanywa na Naibu Spika, hakiwezi kuachwa hivi hivi, hivyo natoa wito kwa wabunge wetu, wenye mapenzi mema na taifa hili, kuanzisha vuguvugu la kuzifumua kanuni zote zinazompa spika/ naibu spika mwanya wa kuliendesha Bunge kwa udikteta kadri nafsi zao zinavyoona inafaa!,badala ya kuliendesha Bunge kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni.
Hakuna ubishi kuwa Mhe. spika, kuna wakati analiendesha bunge kibabe na kidikteta ila udikteta wa Spika unatokana na hulka za Uhehe na mazingira ya spika mwanamke kuliongoza Bunge lililotawaliwa na mfumo dume.
Mazingira ni kwa vile Mhe. Spika ameupata uspika sio kwa kuupigania na kumshinda spika Sitta, bali ameukwaa uspika kutokana na huruma tuu ya kijinsia kuwa, Spika Sitta ni mzuri na amefanya kazi nzuri, ila sasa CCM, imeamua kuitumia karata ya jinsia yake na sio kutokana na uwezo hivyo to prove she is able and capable, kujikuta analazimika aonyeshe uwezo na makucha, hivyo ku over do.
Kwa upande wa hulka yeye Spika ni mtu wa Iringa, Mhehe, Wahehe wako very serious, hawataki ujinga ujinga, hivyo they are always wako very emotional na hot tempered, hivyo Madam lady Speaker anakuwa easly provoked hivyo kupandisha hasira na morali kirahisi na kutoa maamuzi ya kibabe na kidikteta huku akiyatetea kwa hoja japo nyingine ni hoja dhaifu!, ila baada tuu ya muda mfupi, hasira hizo za Kihehe hupoa na kutulia hivyo mkikutana nje mtacheka tuu as if nothing happened!.
Ila huyu Naibu Spika, yeye japo ni mtu mtulivu, makini na mtaratibu sana kwa nje, ila kwa ndani ndie dikteta mbaya na hatari zaidi kuliko hata Madam Spika, huyu ni ile type ya watu kama alivyo simba mwenda kimya!
Hili nimelishuhudia leo bungeni wakati akiizima hoja ya dharura ya kuujadili mgomo wa madaktari kwa dharura iliyoibuliwa na wabunge wawili akiwemo Mhe. JJ Mnyika.
Hoja imeombwa kwa mujibu wa kifungu cha kanuni No. 47 ambapo Naibu Spika akaizima hivi hivi juu kwa kwa juu kwa macho makavu kabisa bila hata kupepesa macho wala ku blink jicho as if mgomo wa madaktari is nothing, kwa hoja rahisi na dhaifu kabisa kuwa hoja hiyo haikuungwa mkono!.
Kitendo tuu cha madaktari kugoma ni very serious issue kwa sababu kazi ya udakitari, inaambatana na kiapo cha kulinda uhai wa binadamu no matter what!. Kitendo tuu madaktari kugoma ni kitendo cha kushtusha taifa, hivyo kitendo cha hoja hii kuibuliwa bungeni na waheshimiwa wabunge wawili kwa mpigo ni uthibitisho tosha kuwa hoja hiyo tayari imeungwa mkono na wabunge wawili, sasa huyu Naibu Spika alitaka mpaka iungwe mkono na wabunge wangapi ndipo iwe hoja valid?.
Takwa la kanuni ni hoja kuungwa mkono na angalau wabunge wawili. Naibu Spika alipaswa kwanza kuuliza kama hoja hiyo inaungwa mkono lakini hakuuliza ili kama kuna wabunge wengine wanaounga mkono wajitokeze, yeye aliamua tuu kuizima jumla juu kwa juu!.
Watu kama hawa wanafikiri kwa kuzima hoja za msingi kama hizi ni kuwakomoa wapinzani kwa kudhani ndio wanaisaidia serikali bila kujijua hawaisaidii serikali, hawamsaidii rais wa JMT na hawalisaidii taifa kwa kuzuia hoja tete kama hii kujadiliwa na Bunge.
Kitendo cha Bunge kukataa kuujadili mgomo wa madaktari kutapelekea watu kupoteza maisha, waziri wa afya kupoteza kibarua chake na mwisho siku kitamlazimisha rais wa JMT kuja mbele ya umma, kwanza kwa kumtimua msaidizi wake, Waziri wa Afya as a scapegoat move, kisha kuwapigia magoti madaktari hawa kuwaomba wasitishe mgomo wao na warejee kazini.
Hivi seriousness ya mgomo wa madaktari inahitaji uungwaji wa mkono wa aina gani kuonyesha hili jambo ni dharura?!.
Mhe. Naibu Spika na ile height yake, na smilling face yake ndio type ya wale ambao wana ku stab on your face infront huku anakuangalia akismile as if nothing has happened!, wakati kwa kawaida stabbing hufanywa kwa nyuma on your back ili anaye ku stab asikuone usoni, ndio maana inaitwa backstabbing!.
Lengo la kanuni za Bunge ni kutoa muongozo kwa viongozi wa Bunge na Wabunge kuendesha Bunge letu, hivyo kanuni hizo zinapotumika ndivyo sivyo kuminya hoja za msingi, Wabunge wetu hakikisheni mnajenga hoja ya kubadili kanuni ili kuzuia madikteta wa type ya Spika na Naibu wasiabuse powers vested on them na kanuni haswa katika kutoa ufafanuzi jambo la dharura la kujadiliwa na bunge ni lipi?!.
Kama mgomo kama huu madaktari nchi nzima ambao, peoples life at stake, anaibuka mtu na kuuona sio dharura, jee mpaka kutokee nini ndipo lionekane hili ni jambo la dharura?, ua kusubiri kwanza watu wafe ndipo tuone sasa ni dharura?!.
Kwa haya yanayotekea bungeni sasa, yananifanya nimkumbuke sana Spika Sitta, kulikuwa hakuna ujinga ujinga kama huu tunaoushuhudia ukiendelea sasa kwenye hili Bunge letu tukufu.
Paskali