Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,980
- 20,849
- Thread starter
- #141
Kwa hiyo kufanya jambo hilo hilo kila mwaka ukitegemea matokeo tofauti ndio njia bora!?Yaani wewe poyoyo kweli kweli aisee.Kaa pembeni hatuhitaji watu wenye akili finyu kama zako mkuu.Zipo njia nyingine nyingi za kupinga sera za CCM, ila kususia upigaji kura sio njia sahihi, respectfuly.