Ni miaka 63 sasa CCM ipo madarakani. Kimsingi hakuna maendeleo ya maana waliyotuletea, isipokuwa kuturudisha nyuma kimaendeleo miongo kadhaa.
Kila serikali iliyoingia madarakani ilileta usanii wa kisiasa na kiuchumi na hatimaye kuturudisha nyuma decades.Wanayojisifia kwamba ni maendeleo si...
Naona majirani wamesharuhusu Starlink, sasa EastAfrica wapo Rwanda na Kenya. Ni nini shida na serikali yetu kushindwa kuruhusu hili ukiachana na vigezo alivyotoa Waziri visivyo na mashiko?
---
Tajiri Elon musk Leo hii alasiri ameposti kwenye page yake ya Twitter aki confirm kwamba Kenya...
Hali inazidi kuonesha kuwa visiwani kimeumana.
Tazameni na sikilizeni kinachozungumzwa na mwana wa mfalme.
Nauona mwisho wa CCM baada ya kutawala kwa 60yrs+.
Kwa misuguano hii kamwe haijengi bali ni kuongeza nyufa ndani ya nyumba husika.
Nafikiri hiki ni kipindi bora kwa wapinzani wazidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.