Bhisumbinyama
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 808
- 580
Sasa ili kufikia hilo bosi wangu lazima watu wetu wawe na:Mkuu mimi zizungumzii vyama vya siasa tu,vyama na wananchi wote.I believe if that happens,it will be hard to swallow for CCM.Legitimacy inatoka kwa wananchi,hawajawapa,mtajiwekaje madarakani?Hilo ndilo tunalotaka litokee.
1. Nguo za kutosha ili wakihongwa t.shirt na kofia wakatae
2. Wawe na shibe ya kutosha ili wakihongwa msosi wasikubali.
Taunzie hapo.